Wengi wanywao vikabali (viroba) huchangiwa sana na uhaba wa kipato .
Kwani unamlipa sh ngp per monthly ?
Kama unamlipa below laki 1 kwa mwezi ni haki yake anywe pombe hiyo.
Mi wa kwngu namlipa laki mbili per moon , so anakula Maji ya Tanzania Brewries na juzijuzi kaniomba loan anataka anunue Ka'Bajaji kake.
Nafikiria kumsaidia , nawe jitahidi kum'boreshea uone kama atakunywa za kwenye mifuko.
Bado sina raha, wajua kwanini!wifi umeshindaje leo?
Hahaha! Mke mwenza nimependa ulivomshauri, eti anamlipa elf 70'000 lol, wewe yule wako wamlipaga sh ngapi vile?Anakula ugali wa shkamoo afu anadhani ku-maintai house staff ni mchezo eeh?
Jane zero-zero-zero, mshauri mumeo anywe castle lite ili hgeli asidoee. Afu umnunulie zile pakti za power zinazimisha haraka.
isije ikawa ni wewe mwenyewe mnywa viroba
isije ikawa ni wewe mwenyewe mnywa viroba