jangala
JF-Expert Member
- Feb 17, 2014
- 1,583
- 2,383
- Thread starter
- #21
Wewe unaweza..wenzio vipi?Kazi kwao nina miaka zaidi ya 20 sijui dada ni mtaa gani. Pamoja na majukumu lakini mume kwanza. Hivi unafikiri na hizi kucha za bandia ambazo hata kudonoa simu ni shida zitaweza hata kufua face towel achilia mbali kuosha vyombo. Mmmmmh