ndayilagije
JF-Expert Member
- Nov 7, 2016
- 7,492
- 8,295
Siyo sawa,hiyo ni sawa na utupu wako hata mkeo hupaswi kumpa afue..unless labda unaumwa sana. Kila ukioga fua boxer yako. Ni watoto tu hufuliwa pichu zao.
Swala sio kushindwa kufua boxer, ila kufua boxer ni ishara moja wapo ya upendo na mapenzi moto moto na wala sio kingine, ila wenye fikra kama zako wataona utumwa, msiwe mnatazama kila kitu kwa usawa yani huwa mnafeli hapo tu, na ndoa inapoteza dira.Wanaume mkioa mnakuwaga kama vilema....hadi boxer ufuliwe? Unashindwaje kifua boxer yako jamani
Dah!Mke wangu ni zaidi ya huyo dada! Yaani hadi unajuta kuoa. Tabu watoto. Ndoa ni laana aisee...
Sawa kabisa mana kuna hadi wanaume wanawavalisha mademu zao pedi km ishara ya upendoSwala sio kushindwa kufua boxer hapo ni upendo na mapenzi moto moto na wala sio kingine, ila wenye fikra kama zako wataona utumwa, msiwe mnatazama kila kitu kwa usawa yani huwa mnafeli hapo tu, na ndoa inapoteza dira.
Na kuna wanaume wanawafulia mademu vyupiWanaume mkioa mnakuwaga kama vilema....hadi boxer ufuliwe? Unashindwaje kifua boxer yako jamani
Fua mwenyewe na beki tatu anasuuzaNisipofuliwa nguo za ndani na mke basi ni heri nibaki bachela tu, sex nitanunua road
Boxer ni chupi..chupi ni nguo ya ndani tena veery sensitive..nnanzaje kumpa hg...lol...mkeo kilaza[/QU nina miaka 28 sijawahi fanya tendo la kujamiiana. Ila hivyo si vizuri
Boxer ni chupi..chupi ni nguo ya ndani tena veery sensitive..nnanzaje kumpa hg...lol...mkeo kilaza[/QU nina miaka 28 sijawahi fanya tendo la kujamiiana. Ila hivyo si vizuri
Yaaani wananikera sana!Wanaume mkioa mnakuwaga kama vilema....hadi boxer ufuliwe? Unashindwaje kifua boxer yako jamani
Unaonekana wewe sio mwanamke, ungekua mwanamke usingejadili majikumu yako, kama ni mwanamke pole mume utamsikia kwenye bomba utaishia short time au utaishia kudanga tuYaaani wananikera sana!
Uchafu na uvivu toka majumbani kwao!
Ndio maana midume inanuka sana hapo kati kwenye daladala utajuta akishika BOMBA karibu yako!
Uvundo!
Wamama wafundisheni, watoto wenu kujihudumia bado mapema, ni mizigo wakikua kwa familia zao!
Kwani mke mtumwaa! Khaaa!
Kutafuta mnatafuta wote,kula mnakula wote,ke afue boxer
Me nawe ufue braa!
duuh kumbeMkeo atakua type ya Mange Kimambi..maana alikua anampa house gelo mpaka chupi
mkuu fua tuu boxer zako usitegemee mke kukufanyia kila kituKwa muda mrefu nimekua nikijiuliza swali hili kutokana na utaratibu uliopo nyumbani kwangu. Juzi nilikuta kuna ugomvi kati ya wife na house maid wetu, ambapo yule binti alikua amefura kwa hasira, kasimama katika mlango wa Chumba chetu akidai apewe pesa zake asepe usiku huo huo na alikua tayari ana begi mkononi.
Nikambembeleza, nikamuomba asiondoke usiku huo asubiri asubuhi, wife akatoka chumbani kama mbogo na kunigeuzia kibao kwamba kwanini nambeleleza kwamba nimwache aende na hapati hata senti, ukawa ugomvi mkubwa sana, ambapo binti kwa hasira akamjibu wife kuwa "" kama wewe ni mke bora usingeshindwa kumfulia mmeo hata boxer hadi unaleta kwangu, hufai""" kwa kweli sikuwahi kujua huwa anampa maid afue boxer zangu.
Huwa naona zimeshafuliwa na kupigwa pasi mimi navaa tu, juzi ndio niligundua hili suala, anyway yule binti alingangania kuondoka usiku ule kwamba yeye ni mtu mzima anajua anakoenda, tukaenda kwa Mjumbe nikampa nusu ya pesa anazodai zingine atarudia kama laki tatu hivi, kumbe siku zote nikitoa mshahara wife hampi anadai anamtunzia kwamba ataharibikiwa akimpa monthly.
Jana nikawa namuuliza wife kuwa kumbe boxer pia huwa unampa afue? Badala ya kunijibu kajikasirisha uongo na kweli ili tuiache hiyo mada, kwamba inakuaje nina mtetea housegirl hadi kufikia hatua kumbembeleza asiondoke, anyway hayo yakaisha.
Ila tu nikajiuliza swali hivi ni jambo la kawaida kwa maid kufua boxer zangu? Mimi ndio sielewi inavyokua maana wakati mwingine pale mbele ya boxer huwa panatengeneza miduara ya mabaki ya mbegu mara baada ya tendo usiku, yale matone huwa yanaendelea usiku na kukaukia pale.
Sasa ni sawa kwa housegirl kuifua nguo hiyo?