kabila gani huyo House girl?
We ulikuwa unamlipa mshahara wake??? Maana na nyinyi mnawafanyia vibaya hao watu
Miaka minne na miezi sijakosa kumlipa mshahara wake najiuliza nini kilitokea.
Pole sana.
Kamtangaze.
Kumbe kaiba nguo zako tu.....Kama sio yeye, basi na yeye atakuwa kachukuliwa na hao wezi, mbona haonekani sasa. Aibe nguo tu tena za mama za baba na watoto asiguse??????
hahahhahzha samahani nimecheka!nimeshindwa kuvumilia hiyo ya kuchukuliwa na wezi!Kama sio yeye, basi na yeye atakuwa kachukuliwa na hao wezi, mbona haonekani sasa. Aibe nguo tu tena za mama za baba na watoto asiguse??????
Pole usilie sana inawezekana na wewe hujamlipa mshahara kwa miezi mi 3 etc lakini usihofu polisi wa intelligensia ya MMU watamu apprehend
House girl gani anacheleweshewa mshahara miaka hii akasubiri miezi mitatu?
Pole sana Mkuu kama una mume chunguza vizuri usikute amepangishiwa
My dia house girl wa siku hizi yupi ananyanyaswa, na wazazi wake wanijua vizuri wasingekubali niishi naye miaka minne kama nilikuwa namnyanyasa.
....kaniibia mpaka bra na anda wea.