bukoba boy
JF-Expert Member
- Jan 15, 2015
- 5,374
- 3,972
Mbembeleze akatoe,huu si ndio ushauri ulio utakua?
Sent from my iPhone 8 using JamiiForums mobile app
Sent from my iPhone 8 using JamiiForums mobile app
kwa ushauri huo nahisi harufu ya damu changa isiyo na hatia. msithubutu kukatisha uhai japo huyo kiumbe hana mtetezi ila kumbukeni jicho kali la Mungu liko nanyi na itawaandama. huwezi kujua leo ukatae mtoto au vinginevyo kisha uje kuoa asiyejaaliwa uzazi. utalia kilio cha rohoni hadi unazama kaburini na majuto juu.Kijana wa form six hiki siyo kitu cha kuja kuanzishia uzi. Kwa umri wako ulitakiwa ujue ukisex kuna matunda na kama upo tayari nayo au la....
Sasa matunda yanakuja unakuja kuanzisha uzi!!?
Taratibu ni hizi
Pima naye
Kama ipo muulize ana mpango gani, kisha fanya atakachosema
hakikisha kama ni yako,anaweza kukupakazia kisa umefaulu na anajua unaenda cho kikuu hivyo uhakika wa maisha upo,chunguza sana kama yako usikatae ndo jawabu la kubadili utaratibuNimemaliza form six may mwaka huu nikarudi home, nyumban tupo 5 tu yaani baba, mama, wadogo zangu wawili na msichana wa kazi ambao asbh wakiamuka wanaenda shule na wazazi kazin, wanapoondoka kazin ninabakia na msichana wa kazi, mwanzo nilichukulia kawaida kukaa nae ila baadae nikabadili utaratb, wazazi wakiondoka naenda chumbani kwa dada( house girl) tunafanya yetu mpaka saa 2 anaendelea na kazi zake, Jana matokeo yametoka nimefaulu, leo kasikia baba yangu ananipongeza kwa kufaulu, kaingia chumbani kwake kanitumia msg ananiambia ana mimba yangu!!! Nifanyeje?
Wachache sana hapa duniani wana msimamo kama wako. Hongera sana. Wangepatikana 50% kama wewe dunia ingekuwa mahali safe kuishi.Dogo nakufundisha kitu:
Jiwekee misimamo kuhusu wanawake..unanisikia?
Fanya hivi:- siku zote azimia kuwa mwanamke yeyote utakayelala nae kuwa utaweza kumfanya mke wa ndoto yako hivyo acha kuchovyachovya hovyo.
Pointi yangu ni kuwa msichana utakayelala naye ni lazima akidhi vigezo ulivyojipangia mfano awe na mvuto uupendao n.k
Sasa ona unabebeshwa mzigo ambao haukuwa kwenye mke wako wa future.
KhaaaaMwambie hausegell amsingizie dingi amna namna
sent from my iPhone 6
Kulea mimba si mchezo ba kijacho hajajipangaJambo jema,hongera baba kijacho.
-Ndumilakuwili-
Hongera sana huu kweli ni mwaka wko mzuri wape taarifa wazazi wako wakupongeze kwa mara nyingine
Post sent using JamiiForums mobile app

Na akimaliza shule waoane kabisaWe nenda shule wazazi watalea, ilimradi ukiulizwa kubali ni ya kwako.