[emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23]dah nmecheka c nd apo xaxa c tumxhauri nn wakat utamu kau onja yeyeSasa unashangaa nini ulitaka hio mimba ubebe wewe?
~~~>>>Atajipanga "mbele kwa mbele"Kulea mimba si mchezo ba kijacho hajajipanga
boom kwa kipindi cha magu alipatikani kiurahic ndugu yanguHapo kuna shida gani, we nenda chuo mkakuwa mnagawana boom...
Nimemaliza form six may mwaka huu nikarudi home, nyumban tupo 5 tu yaani baba, mama, wadogo zangu wawili na msichana wa kazi ambao asbh wakiamuka wanaenda shule na wazazi kazin, wanapoondoka kazin ninabakia na msichana wa kazi,
Mwanzo nilichukulia kawaida kukaa nae ila baadae nikabadili utaratb, wazazi wakiondoka naenda chumbani kwa dada( house girl) tunafanya yetu mpaka saa 2 anaendelea na kazi zake, Jana matokeo yametoka nimefaulu, leo kasikia baba yangu ananipongeza kwa kufaulu, kaingia chumbani kwake kanitumia msg ananiambia ana mimba yangu!!!
Nifanyeje?
Lazima aone dunia ni nzito~~~>>>Atajipanga "mbele kwa mbele"
Sent using Nokia toch......
[emoji23] [emoji23] [emoji23] [emoji115]Aisee umefaulu mara mbili hongeraaa
~~~>>>Hapo mzigo ni kwa "wazazi"Lazima aone dunia ni nzito
DuuuMwambie hausegell amsingizie dingi amna namna
sent from my iPhone 6
Hata hizo cha "vyuo vyao vikuu" pia haziwasaidii...Nyie watoto nendeni chuo mkasome tu manake naona hizo elimu mpaka form 6 haziwasaidii kabisa
Post sent using JamiiForums mobile app
Ulikuwa unahamia kwenye chumba chake badala yeye aje chumba chako.?Nimemaliza form six may mwaka huu nikarudi home, nyumban tupo 5 tu yaani baba, mama, wadogo zangu wawili na msichana wa kazi ambao asbh wakiamuka wanaenda shule na wazazi kazin, wanapoondoka kazin ninabakia na msichana wa kazi,
Mwanzo nilichukulia kawaida kukaa nae ila baadae nikabadili utaratb, wazazi wakiondoka naenda chumbani kwa dada( house girl) tunafanya yetu mpaka saa 2 anaendelea na kazi zake, Jana matokeo yametoka nimefaulu, leo kasikia baba yangu ananipongeza kwa kufaulu, kaingia chumbani kwake kanitumia msg ananiambia ana mimba yangu!!!
Nifanyeje?
Muoe tu tena litasanuka ukiwa bado upo hapo maana chuo hadi mwezi wa kumi ndo vyuo vikuu vinafunguliwa. Jiandae kuwa Baba utanyooka.Nimemaliza form six may mwaka huu nikarudi home, nyumban tupo 5 tu yaani baba, mama, wadogo zangu wawili na msichana wa kazi ambao asbh wakiamuka wanaenda shule na wazazi kazin, wanapoondoka kazin ninabakia na msichana wa kazi,
Mwanzo nilichukulia kawaida kukaa nae ila baadae nikabadili utaratb, wazazi wakiondoka naenda chumbani kwa dada( house girl) tunafanya yetu mpaka saa 2 anaendelea na kazi zake, Jana matokeo yametoka nimefaulu, leo kasikia baba yangu ananipongeza kwa kufaulu, kaingia chumbani kwake kanitumia msg ananiambia ana mimba yangu!!!
Nifanyeje?