brasy coco
JF-Expert Member
- Apr 25, 2012
- 1,489
- 900
Mwambie baba yako akapeleke posa kwa wazaz wa uyo dada ksha umuoe ksha wende chuo ila msitoe mimba raha sana kuwa na mtoto yan mpaka ukimalza chuo mwanao mkubwa bac raha tu.... umepata faida ya ulichopanda
