House girl ana mimba yangu

House girl ana mimba yangu

Mwambie baba yako akapeleke posa kwa wazaz wa uyo dada ksha umuoe ksha wende chuo ila msitoe mimba raha sana kuwa na mtoto yan mpaka ukimalza chuo mwanao mkubwa bac raha tu.... umepata faida ya ulichopanda
 
Unauliza ufanyeje maanake nn? Mkubwa hivyo hujui utaratibu wa kupeleka posa ili uoe? Ulivyokwichikwichi hukujua kuwa bado safari ya shule ipo? Acha bangi!
 
Hongera dogo, subiri boom litoke upange geto umhamishie huyo mbeibee wako muishi, kabla first yr haijaisha mtoto wa kwanza huyooo, ukifika 3rd yr mpige mimba ingine!Ukimaliza chuo ushaoa na ulishazaa...no stress, kukimbizana na pesa tu
Angalizo: 1.usichague kozi na vyuo vya kibabe, kwa stress ya mtoto na mama yake hautatoboa. 2. Anza kufikria miradi ya ujasiriamali hata midogo, vinginevyo njaa itakuua ukitegemea boom kulea mama, mtoto na wewe 3.Kama ulipiga house gal usiyempenda ili tu kupoza mashine pole yako maana najua usingependa kusikia habari za kumuoa ila ndo hivyo naye tayari anafikri hii ndo nafasi yake ya kutoka. Natamani angekuwa ndugu yangu nimjaze ujingaa

Post sent using JamiiForums mobile app
Huo mstari Wa mwisho umenifurahisha unatamani angekua nduguyo ....
 
Waambie wazazi wako wajiandae kumpokea mjukuu mtarajiwa. Hongera Baba kijacho ungetumia ndom yasingekukuta haya lakini ukataka kuusikia utamu mpaka masikioni na kisogoni.

Nimemaliza form six may mwaka huu nikarudi home, nyumban tupo 5 tu yaani baba, mama, wadogo zangu wawili na msichana wa kazi ambao asbh wakiamuka wanaenda shule na wazazi kazin, wanapoondoka kazin ninabakia na msichana wa kazi, mwanzo nilichukulia kawaida kukaa nae ila baadae nikabadili utaratb, wazazi wakiondoka naenda chumbani kwa dada( house girl) tunafanya yetu mpaka saa 2 anaendelea na kazi zake, Jana matokeo yametoka nimefaulu, leo kasikia baba yangu ananipongeza kwa kufaulu, kaingia chumbani kwake kanitumia msg ananiambia ana mimba yangu!!! Nifanyeje?
 
Hivi sheria ya Magufuli ingefaa ifanyiwe marekebisho isiegemee upande mmoja. Mwanafunzi akipewa mimba, aliyempa ataenda miaka 30 jela, na mwanafunzi(mvulana) akimpa mtu mimba nae aende 30yrs

Post sent using JamiiForums mobile app
 
Dogo nakufundisha kitu:

Jiwekee misimamo kuhusu wanawake..unanisikia?

Fanya hivi:- siku zote azimia kuwa mwanamke yeyote utakayelala nae kuwa utaweza kumfanya mke wa ndoto yako hivyo acha kuchovyachovya hovyo.

Pointi yangu ni kuwa msichana utakayelala naye ni lazima akidhi vigezo ulivyojipangia mfano awe na mvuto uupendao n.k

Sasa ona unabebeshwa mzigo ambao haukuwa kwenye mke wako wa future.
 
Yaaani nimefurahi sana utadhani mtihani nilifanya miye. Umefaulu mara mbili aisee, sasa unalia nini?? Kwa nini alikwenda chumbani na weye usimfuate kule kule ukapata cha kupongezwa?? Aliumia saana kuona ulivyo mwangalia ka kinyaa uliporudi kutoka kutizama matokeo. Pole mkuu, hata iweje, kijacho ni chako tu.
 
Hahahaaaa utam haujawahi muacha MTU salama kubali matokeo

Post sent using JamiiForums mobile app
 
Hongera sana kwa kufaulu na kutia mimba, sasa Jiandae na mitihani ya chuo na mitihani ya kulea mwanao nyumbani kwenu

Sent from my GT-N5100 using JamiiForums mobile app
 
Hana mimba yako, ni mimba yake acha hofu.

Post sent using JamiiForums mobile app
 
Hii inanikumbusha ile hadith ya"utamu wa mua ulivyoizamisha meli ya Mv.bukoba"
Mchuma janga hula na wakwao...Wahenga hawakosei
Pambana na hali yako,,kwa hisani ya anko Magu

Post sent using JamiiForums mobile app
 
Haizuii wewe kwenda shule labda angekuwa mwanafunzi

Post sent using JamiiForums mobile app
 
pole mkuu kusanya virago vyako uhame kabisa hapo kwenu maana mtiti wake si kitoto utachezea kisago kwa mzee
 
kumgegeda house girl hakujawai kumuacha mtu salama...wahenga walisema hakuna house girl mgumba..
 
Pole sana...

Kama kweli ulikuwa unalala nae.. Basi jiandae kulea mwanao...


Cc: mahondaw
 
Back
Top Bottom