Hotuba za Rais Magufuli zimenichosha sana!

rosemarie

JF-Expert Member
Mar 22, 2011
6,887
3,420
  1. Watanzani wenzangu nimerudi jioni hii nyumbani nikakuta watu wanaangalia hotuba ya Rais wetu live kutoka Simiyu,kwa kweli kuangalia nikawaomba waondoe haraka sana,jamani nimechoka sana kumsikiliza Rais wetu,sijui nini kifanyike lakini natamani hata nisisikie sauti take kabisa,naona kama Hanna jimpya Lita Loki's hawkish I nipoteze muda na kukaa kuangalia,sijui wenzangu ila mimi hapana na sitaangLia tena,nini kifanyike? Tunaomba washauri wa Rais fanyeni kitu ile tuwe na hamu na sauti y Rais wetu,wataalam watafutwe wamshauri Rais jinsi ya kutufany tummisi,mimi ni raia mwema naeleza ya moyoni mwangu
 
  1. Watanzani wenzangu nimerudi jioni hii nyumbani nikakuta watu wanaangalia hotuba ya Rais wetu live kutoka Simiyu,kwa kweli kuangalia nikawaomba waondoe haraka sana,jamani nimechoka sana kumsikiliza Rais wetu,sijui nini kifanyike lakini natamani hata nisisikie sauti take kabisa,naona kama Hanna jimpya Lita Loki's hawkish I nipoteze muda na kukaa kuangalia,sijui wenzangu ila mimi hapana na sitaangLia tena,nini kifanyike? Tunaomba washauri wa Rais fanyeni kitu ile tuwe na hamu na sauti y Rais wetu,wataalam watafutwe wamshauri Rais jinsi ya kutufany tummisi,mimi ni raia mwema naeleza ya moyoni mwangu
Iweje uwakoseshe wenzeo hapo nyumbani uhuru wa kumsilikiliza au la, halafu unatuuliza sisi wakati hao nyumbani kwako bado wana hamu naye. Je, ulichofanya hapo kwako sio utawala wa kimla?
 
hebu sema kweli kati ya hivi viwili kilicho kukera ni kipi?

1.sauti yake yaani namna anavyo sema.


2.Maneno, maneno yake ni machungu utaki na upendi yasikia tena.
 
Back
Top Bottom