Exaud J. Makyao
JF-Expert Member
- Nov 30, 2008
- 1,518
- 22
Duuu,
Yaani una maana kuwa hata vizazi vijavyo watakuwa kama sisi? Kumbe hii historia ni kweli:
Mao Zedong, JKN na Borris Yeltsin wameenda kwa Mungu ili kuuliza kule kwao hali itakuwaje in future:
1. Mao Zedong akaambiwa kuwa China inakwenda safi sana baada ya miaka 100, inakuwa super power duniani kwa kila kitu.
2. Borris Yeltsin akaambiwa Russia mambo yatakuwa bomba baada ya miaka kama 150 hivi.
3. Alipokuja Nyerere na swali hilohilo, Mungu akamwangalia na bila kusema neno akaanza kulia.
MASA,
Hapa jibu mwenyewe.
Nikijibu mimi naweza kuandika zaidi ya maneno millioni 10 nikimuonyesha umuhimu wa historia na kumbukumbu.