Chakunyuma
JF-Expert Member
- Apr 10, 2011
- 810
- 152
Tatizo ninaloliona ni kwamba Rais anatumia muda mwingi kutoa review ya mambo ya nyuma ambayo yanafaamika na kuacha kutueleza tutajikwamuaje kwenye huu umaskini unaotokana na ufisadi na maamuzi na matumizi mabaya ya rasilimali zetu. Haina logic kuelezea hatua za kulima hata mtoto wa miaka sita anajua ya nini sasa itumie muda wa rais kuelezea?Ni wazi tutapata katiba mbovu kutokana na rais kusisitiza ile adhabu ya miaka5& mil5. Inasikitisha kwa kweli, MUNGU tusaidie waja wako.