jmushi1
Platinum Member
- Nov 2, 2007
- 26,381
- 25,476
Nimegunduwa kuwa hatujui priorities zetu na hatufuati njia inayotakiwa tuifuate kama ni kweli tunataka kujikwamua kama Taifa.
Kutoa hiyo mikopo inasaidia nini kama ukweli ni kwamba hakuna mazingira ya kufacilitate uzalishaji bora?
Kuyaambia hayo makampuni h=ama watu wazalishe bidhaa bora zenye viwango vya kimataifa kabla ya kuwa na programs za kuwaanda na kuwatrain ni sawa na kupaka rangi hewa.
Hizo bidhaa za ku export zitengenezwe mawinguni?Given the energy criss we're facing? Halafu pia nimeona ni kuhusu mauwa na "horticultural"
Ok hata hizo EPZ wanazodai ziko karibu na bandari ama airports, je kama hakuna umeme what are going to store and where? Especially kama bidhaa ni za vyakula? Ama majenereta?
Sana sana ni mikopo tu hizo schemes, pelekeni pesa kuhakikisha mazingira ya uzalishaji ni smooth ili ku encourage hilo.
Haitowezekana kamwe kupata maendeleo chini ya energy problems tulizonazo, ni kuchezea pesa tu na kulaumiana, sana sana maybe kugawana tu ulaji...Ni bora serikali ingeangalia namna za tofauti za kuspend pesa kwa namna ya malengo marefu.
Ngoja nisubiri mifano hai kutokana na hizo schemes, si tupo?
Kutoa hiyo mikopo inasaidia nini kama ukweli ni kwamba hakuna mazingira ya kufacilitate uzalishaji bora?
Kuyaambia hayo makampuni h=ama watu wazalishe bidhaa bora zenye viwango vya kimataifa kabla ya kuwa na programs za kuwaanda na kuwatrain ni sawa na kupaka rangi hewa.
Hizo bidhaa za ku export zitengenezwe mawinguni?Given the energy criss we're facing? Halafu pia nimeona ni kuhusu mauwa na "horticultural"
Ok hata hizo EPZ wanazodai ziko karibu na bandari ama airports, je kama hakuna umeme what are going to store and where? Especially kama bidhaa ni za vyakula? Ama majenereta?
Sana sana ni mikopo tu hizo schemes, pelekeni pesa kuhakikisha mazingira ya uzalishaji ni smooth ili ku encourage hilo.
Haitowezekana kamwe kupata maendeleo chini ya energy problems tulizonazo, ni kuchezea pesa tu na kulaumiana, sana sana maybe kugawana tu ulaji...Ni bora serikali ingeangalia namna za tofauti za kuspend pesa kwa namna ya malengo marefu.
Ngoja nisubiri mifano hai kutokana na hizo schemes, si tupo?