Hotuba ya Rais Kikwete kuuaga mwaka 2011

Ni kweli kwamba shida yetu ya umasikini ni wawekezaji?

Maana naona keshalipatia jibu tayari lile swali la kwanini sisi masikini lol

He is right, the only way kuondokana na umasikini ni through uwekezaji wa ndani na nje plus uwezeshaji....issues ambazo amezi address soon baada ya huo mfano ulio u quote.....
"Katika kuwahamasisha wawekezaji, tunatambua fika umuhimu wa kutoa kipaumbele kwa wawekezaji wananchi wa Tanzania. Wanahitaji upendeleo maalum na wanahitaji kuwezeshwa na tumekuwa tunafanya hivyo. Ndiyo maana kuna maeneo na shughuli zilizotengwa maalum kwa ajili ya wawekezaji wazawa pekee. Aidha, umewekwa ukomo wa kiwango cha chini cha mtaji ambacho wawekezaji wageni lazima wawe nacho ili watambuliwe kuwa wawekezaji. Tusipofanya hivyo uchumi utatawaliwa na wageni.

Lakini hatukuishia hapo tu, tumelitazama suala la uwezeshaji wa wazawa ili waweze nao kushiriki katika fursa zilizopo nchini mwao. Tumechukua hatua za makusudi kufufua Benki ya Rasilimali kwa ajili ya kutoa mikopo kwa wawekezaji wazawa kwa shughuli za viwanda na biashara. Pia tunakamilisha mipango ya kuanzisha Benki ya Kilimo kwa ajili ya kutoa mikopo kwa wakulima wazawa. Benki hizo mbili hazitatoa mikopo kwa wawekezaji wageni.
 
Mimi nilitaka niende kwenye webiste nikutane na statistics na si huu upupu, pesa wanazo hata vitu vidogo tu hawajali! Kwa taarifa yako ilikuwa vigumu kupata hata hizi za 2011! Sasa nini hii?


Ama unataka nikuwekee za wenzetu zenye kumake sense?

Nimekwambia nenda wizara ya kazi au labour commission watakupa documents (statistics) bure..

mtafiti gani hujui hata source? najua huna interest na area hiyo
 
Wewe unafikiri ni nini?? toa hata sababu tatu
Moja tu kubwa,

1)hao waliosema sababu ni wawekezaji ndo tatizo!

Mengine ni kutokana na hilo hapo juu, so kuyamention 2 and 3 makes no sense! Just go back to one lol

Halafu mimi nitoe hizo sababu na kunawanaolipwa kufanya hivyo? Kama viongozi hawawezi kusimamia utekelezaji unategemea nini?

Ama ni "Hamuwezi kusimamia"?
 
Nimekwambia nenda wizara ya kazi au labour commission watakupa documents (statistics) bure..

mtafiti gani hujui hata source? najua huna interest na area hiyo
Nazungumzia webiste ambayo nilipewa kama reference, na hapo hata kwenye hotuba hiyo statement imetolewa kaa copy and paste from that website, halafu on the other side unaniambia niende wizarani kupata documents za statistics na wakati website inasema "National bureau of statistics"?

Vituko!

Ama na we kiongozi nini mkuu?
 
Moja tu kubwa,

1)hao waliosema sababu ni wawekezaji ndo tatizo!

Mengine ni kutokana na hilo hapo juu, so kuyamention 2 and 3 makes no sense! Just go back to one lol

Halafu mimi nitoe hizo sababu na kunawanaolipwa kufanya hivyo? Kama viongozi hawawezi kusimamia utekelezaji unategemea nini?

Ama ni "Hamuwezi kusimamia"?

Huwezi kutaja; unaweza kuongelea waliyosema wengine poor you!

Hutuwezi kusimamia nini kuwa specific; soma hotuba vizuri
 
Wewe unafikiri ni nini?? toa hata sababu tatu

Nitakupa mbili; kwanza uongozi mbovu usiokuwa na vision na pili kuwa na dependent mindset hivyo kufikiria maendeleo yataletwa na wawekezaji kutoka nje ya nchi yetu hence the frequent visits of our leaders to foreign capitals shopping for foreign Aid!!i
 
Jamani - inueni macho juu, mtazame pande zote, hii ni kitu gani! Taifa limepotezwa au mi ndo nimepotea? Soma hapo chini

Kama mnavyokumbuka, katika hotuba yangu ya kuuaga mwaka 2010 na kuukaribisha mwaka 2011, niliahidi kwamba tutaanzisha mchakato wa kuitazama upya Katiba ya nchi yetu kwa lengo la kuihuisha, ili hatimaye tuwe na Katiba inayoendana na taifa lenye umri wa nusu karne. Azma yetu ni kuwa tusherehekee miaka 50 ya Muungano wa Tanganyika na Zanzibar tukiwa na Katiba mpya itakayotumika kwenye Uchaguzi Mkuu ujao wa mwaka 2015
 
Huwezi kutaja; unaweza kuongelea waliyosema wengine poor you!

Hutuwezi kusimamia nini kuwa specific; soma hotuba vizuri
Maliasili mkuu, hizo ambazo hao wawekezaji "wachache" tulionao ambao mumeingia nao hiyo mikataba.

Sasa umeelewa?

Na kama umeelewa, nijibu ni kwavipi wawekezaji hao wachache wameshindwa kutuonyesha hayo mafanikio machache relatively to whatever they are taking?
 
Nitakupa mbili; kwanza uongozi mbovu usiokuwa na vision na pili kuwa na dependent mindset hivyo kufikiria maendeleo yataletwa na wawekezaji kutoka nje ya nchi yetu hence the frequent visits of our leaders to foreign capitals shopping for foreign Aid!!i

Hujasoma hotuba amesisitiza kwamba wawekezaji wananchi (wa ndani) ndio watakaoleta maendeleo na ameeleza hatua walizochukua kuwawezesha wazalendo wa Tanzania; na wengi wamechukua fursa hizo au hujasoma acha ushabiki wewe

Uongozi mbovu kuwa specific mfano?? acha ku-generalize mambo kwani huko ni kukosa hoja..
 
Maliasili mkuu, hizo ambazo hao wawekezaji "wachache" tulionao ambao mumeingia nao hiyo mikataba.

Sasa umeelewa?

Na kama umeelewa, nijibu ni kwavipi wawekezaji hao wachache wameshindwa kutuonyesha hayo mafanikio machache relatively to whatever they are taking?

Mafanikio si yapo kwenye hotuba au unataka kuelezwa nini? sijaelewa nifafanulie mkuu; kwamba tuache kuchimba gesi ili tupate umeme wa kudumu au?
 
Tulitaka tumsikie akitupa mikakati atakayotumia kuhakikisha kuwa rasilimali zetu zitatumika kwa ufanisi zaidi ya mwaka uliopita kutuondolea matatizo yanayotukabili.

Ndio maana mnatakiwa mchukue jembe, nyundo nk mfeke msituni hii ndio dhana ya uwekezaji..

Wewe mwananchi nenda chukua zana wekeza kwenye rasimali za nchi, tumia fursa ambazo Rais amezieleza kwenye hotuba e.g. mkopo (mtaji) nk.

Tunahitaji wawekezaji wa ndani kuliko wa nje..
 
Tatizo ninaloliona ni kwamba Rais anatumia muda mwingi kutoa review ya mambo ya nyuma ambayo yanafaamika na kuacha kutueleza tutajikwamuaje kwenye huu umaskini unaotokana na ufisadi na maamuzi na matumizi mabaya ya rasilimali zetu.

Haina logic kuelezea hatua za kulima hata mtoto wa miaka sita anajua ya nini sasa itumie muda wa rais kuelezea?Ni wazi tutapata katiba mbovu kutokana na rais kusisitiza ile adhabu ya miaka5& mil5.

Inasikitisha kwa kweli, MUNGU tusaidie waja wako.
 
Hujasoma hotuba amesisitiza kwamba wawekezaji wananchi (wa ndani) ndio watakaoleta maendeleo na ameeleza hatua walizochukua kuwawezesha wazalendo wa Tanzania; na wengi wamechukua fursa hizo au hujasoma acha ushabiki wewe

Uongozi mbovu kuwa specific mfano?? acha ku-generalize mambo kwani huko ni kukosa hoja..
Since your head is full of saw-dust I shall help you out!! Sitegemei uongozi makini useme ; tumethubutu, tumeweza na tunasongambele?Unasongambele kwenda wapi ambako watu unaowaongoza hawajui unakowapeleka?

Do you know what the literacy rate is now compared to early independence days? Find out and then you will know kama kweli mnasongambele au mnarudi nyuma!!
 
Hujasoma hotuba amesisitiza kwamba wawekezaji wananchi (wa ndani) ndio watakaoleta maendeleo na ameeleza hatua walizochukua kuwawezesha wazalendo wa Tanzania; na wengi wamechukua fursa hizo au hujasoma acha ushabiki wewe

Uongozi mbovu kuwa specific mfano?? acha ku-generalize mambo kwani huko ni kukosa hoja..

Hapo kwenye wawekezaji wa ndani amepapasa papasa tu..

Halafu vitu vingine kama hivyo sijui huwa vinakuwa kama siri ya baadhi ya watu?

Maana hii kitu kwangu sounds "french"

Mwaka 2011 wananchi wengi walinufaika na Export Credit Guarantee Scheme kupitia vyama vyao vya ushirika 635 vilivyopatiwa jumla ya shilingi bilioni 108.67. Aidha, makampuni mengine yalipata jumla ya shilingi bilioni 24.35. Ni makusudio yetu kuongeza fedha ili makampuni na na watu wengi wanufaike na fursa hizi.
 
Sioni jipya, tumezoea maneno haya haya kila hotuba. Labda tutaamini tukiona kwa vitendo vinginvyo 2012 maumivu yako palepale!
 
He is right, the only way kuondokana na umasikini ni through uwekezaji wa ndani na nje plus uwezeshaji....issues ambazo amezi address soon baada ya huo mfano ulio u quote.....
Unazungumzia hiyo "Export Credit Guaranttee scheme"?

Pia hakuorodhesha manufaa ya hizo pesa zilizotolewa kwa hivyo vyama vya ushirika na kampuni, hotuba imeandikwa hovyo, unajuwa ni mambo mangapi angeyaondoa just ili kuweza kuiweka tu hiyo taarifa in more details ie how the programs and the funds helped employement and the economy as a whole?

Atakuwa pia ameajiri mabogus!lol

Ama kama sivyo, kutokuiongelea "program hiyo" kwa undani inaonyesha haikuwa na manufaa ama kuna something fishy.
 
Hapo kwenye wawekezaji wa ndani amepapasa papasa tu..

Halafu vitu vingine kama hivyo sijui huwa vinakuwa kama siri ya baadhi ya watu?

Maana hii kitu kwangu sounds "french"

Mkuu ulitegemea rais aje nyumbani kukupa taarifa za fursa mbalimbali kwa wawekezaji na uwekezaji nchini?

Kama wewe unafanya politics or poli-tricks kwenye kila jambo huwezi kutafuta hizo fursa utaishia kulaumu serikali kama wafanyavyo upinzani; forgeting that hao jamaa wanaishi kwa kuikosoa serikali

If you are interested with investments in different areas in Tanzania; facilities or schemes are in place

Walio na interest wanazitumia na wame invest tayari..(wametumia rasilima za nchi)
 
Unazungumzia hiyo "Export Credit Guaranttee scheme"?

Pia hakuorodhesha manufaa ya hizo pesa zilizotolewa kwa hivyo vyama vya ushirika na kampuni, hotuba imeandikwa hovyo, unajuwa ni mambo mangapi angeyaondoa just ili kuweza kuiweka tu hiyo taarifa in more details ie how the programs and the funds helped employement and the economy as a whole?

Atakuwa pia ameajiri mabogus!lol

Ama kama sivyo, kutokuiongelea "proram hiyo" kwa undani inaonyesha haikuwa na manufaa ama kuna something fishy.

negative mind always suspecious
 
NINGEPENDA KUSIKIA NA KUONA JK ANAGUSIA MAMBO HAYA

UUZAJI WA WANYAMAPORI NA MALIASILI NJE YA NCHI

  • Kustopisha kabisa kuuza wanyama pori hai nje ya nchi.....
  • Kupeleka muswada kwa nchi za afrka mashariki na hata umoja wa afrika nao kuachana na jambo hilo
  • Kama kuna ulazima badala ya Kuuza wanyama basi tuwakodishe Maana sasa hivi ni kama tunahujuu utalii wetu wenyewe na hata hiyo bei yenyewe ni ndogo mno.

TEKNHOHAMA KATIKA MAENDELEO,UWAJIBIKAJI NA UPASHANAJI HABARI
  • Shule hazina maabara na vifaa lakini teknohaam inawezesha kila shule hasa zile za mjini ziwe na VISUAL LAB.
  • Tasisis kama Polisi,Takukuru hazijatumia fursa ya ICT kuwa karibu na UMMA. Wengi wanaimbilia kuazisha Tovuti tu lakini tovuti za ahzitumi kupokea taarifa au kutoa taarifa zile zinazotakiwa kwa jamii . Mfano hii ni Twiiter ya Police ya UK. . Tanzania tasisi nyingi mamboya ICT ni siasa tu hata tovuti ya shirikakama TBC ni aibu
  • etc


NAFASI NA MCHANGO WA MICHEZO NA MATARIJIO YA LONDON 2012
grrrrrrrr
 
Back
Top Bottom