Ng`wanakidiku
JF-Expert Member
- Apr 18, 2009
- 1,195
- 232
Mwenye shamba aliingia mikataba mibovu na wazungu. Harafu alishawamilikisha hilo shamba kwa miaka 99 (Kakola...). Mwenye shamba alidhani waliomtuma ni wajinga hawatakuja kugundua, wengine aliwaua ili kuficha ushahidi, ila mpaka sasa waliomtuma wameshachoka na wanadai shamba liuzwe upya tena. Kwa pamoja tunaweza kuudha shamba letu upya tena!!!