Umasikini wa watanzania haushii kwenye uwekezaji tu,kwani kwenye madini hakuna wawekezaji?je ni nini tumefaidka na uwekezaji huo,Tulikuwa na kiwanda cha zana za kilimo Mbeya hakikupata mwekezaji?Viwanda vya nguo ili pamba inayolimwa kanda ya ziwa ifanyiwe kazi hapa hapa,hivyo viwanda havikupata wawekezaji?
Na je kuna tofauti gani ya hotuba zake ama salamu za mwaka mpya ambazo JEY KEY amekuwa akizitoaambazo zimefanyiwa kazi na impact ikadhihirika?matokeo yake Rais anawauliza tena wananchi malimbikizo yatakoma lini,mwalimu analalamika Rais analalamika hapo kuna kitu?
Hivi ni kwanini asizungumzie UFISADI ambao ndio unalimaliza Taifa hili pia,ufisadi ndio unaleta umasikini kama sio kuchangia kwa asilimia kubwa,kumbuka ukizungumza kilimo kwanza utazungumzia pembejeo pia hamjui kama zilifanyiwa ufisadi kila inapofika muda wa usambazaji?angalia miradi hewa,mfano ni kule Tanga ambako mwisho wa siku wabunge wa CCM-magamba wakapokea rushwa ili kuzima sakata la ufisadi uliofanyika au hamkumbuki Kafulila aliwataja kwa majina,sasa haya ni mambo makubwa ambayo alitakiwa kuyazungumzia pia kwani ni kikwazo katika maendeleo ya taifa hili,leo ameleta hadithi ama historia yenye lugha ili watu waone anajali anajali kitu gani walimu tu bado hajatimiza,ngoja nisali kwanza maana ni hasira tupu binafsi sijaona hotuba wala salamu
Good points;
Ufisadi katika madini ni swala ambalo liko delicate sana kama mafuta ..
Rais nafikiri amekwepa kuongelea Symbion kama ambavyo chadema wamefyata mkiya kuongelea symbion kwasababu kuna bwana zao wakubwa hapo
Halikadhalika kuongelea Barricks ni sawa kutaka kuacha urais kama Qadafi alivyo uacha ..
Hiyo ndio reality ya New Worl Order kwa sasa