Wapo kina hamad rashid, cheyo na mrema!!
Uhuru wa Vyombo vya Habari ni idadi ya vyombo vya habari pekee?
Yes hapo ni kweli , awamu ya nne uhuru wa habari , radio kibao huko mbeya hadi wananchi wanalalamika , tutakukumbuka JK
Hajafunga Ramadhani mtu huyu, wanaojuwa masharti ya swaumu wananielewa hapa.
Hivi ni wale wanaotoga pua?Jamani Jaribuni Kuwa Wafuatiliaji Wazuri Wa Mambo Na Msipende Sana Kuwa Wapashkuna Wa Mambo. Fungulia TBC1 Na Kama Ulikiwa Mwanzo Wakati Wa Utangulizi Ambapo Spika Makinda Alizungumza Na Hata Alipomkaribisha Rais Kikwete Wote Walitoa Nasaha Za Kuagana Rasmi Na Kuwa Bunge La Jamhuri Ya Muungano Wa Tanzania Linavunjwa Rasmi Leo Hii Hii. Muwe Mnakuwa Karibu Na Vyombo Vyenu Vya Habari Ili Kupunguza Umbea Na Uzushi.
Jamaa mtatakweliMkwere anataja magazeti ya udaku kama mfano wa magazeti 62 yanayotoka kila wiki,kataja ijumaa,uwazi,sani