Hotuba ya Lukuvi bungeni kuthibitisha kauli yake kanisani, UKAWA kumchukulia hatua za kisheria

Wa dau Naomba ieleweke kuwa mgonjwa anayepelekwa nje ya.Nchi Kwa matibabu huwa wamwahindwa Kupona hapa ndani na Yupo hoi akihitaji kwenda kutibiwa nje ya Nchi . Iweje Kwa Lukuvi tuliueaminishwa kuwa kakatizwa safari ya kwenda matibabu India ili Aje atoe Ufafanuzi Kwa aliyotamka Kanisani....cha ajabu mgonjwa Huyo mbali na kuvunja kanuni katika Kuzingatia muda huku mwenyekiti akinyamaza kimya ameonekana akina na Afya njema sana
Nisaideni kujua Wana siasa wetu huenda nje kutibiwa nini?..,,
Mkuu wanaenda kwenye mishemishe zao,wengi wao wanaweza kutibiwa hapa lakini hiyo ni njia mojawapo yakujiongezea kipato.
Hukumbuki issue ya mke wa Hans Kitine alivyoleta risiti bandia naakalipwa na serikali kwa matibabu ambayo ilibainika baadae kuwa hayakufanyika huko Ughaibuni.
 
Nilipokua nafuatilia bunge juzi mwenyekiti wa bunge alimpa nafasi waziri wa nchi sera uratibu na bunge ndg Lukuvi nafasi ya alichokiita kujibu alichosema prof Limbumpa baada ya hicho alichokiita majibu kwa Lipumba, mh Lukuvi alimsifia sana Mrema kwa mchango wake uliomfurahisha bila shaka na kuwafurahisha wakubwa wa ccm mpaka akafikia kumuahidi kwamba atahakikisha Mrema anapata mafao yak...e ,maswali ya kujiuliza

1. je ni haki ya Mrema kupata hicho Lukuvi anachookiita mafao au ni rushwa baada ya kuwafurahisha kwa mchango wake bungeni

2.kama ni haki yake inahitaji kujipendekeza kwao ndio upate haki yako?

3. hii inatufundisha nini kwamba mpaka tujipendekeze kwa ccm ndio tunaweza kupata haki yetu?

4. kwanini Watanzania tunaruhusu mambo ya kijinga haya yatokee katika nchi yetu kwanini tunaruhusu waziri atumie ofisi ya umma na rasilimali za umma kwa manufaa ya chama chao na serikali iliyoko madarakani

5.ni wangapi wataanza kujipendekeza kwa ccm na serikali yake ili wapate wanachokitaka je tutajenga demokrasia kwa njia hizi?
inakera sana
 

Attachments

  • lukuvi.jpg
    lukuvi.jpg
    25.7 KB · Views: 510
Mrema anastahili kuendelea kulipwa fesha ya waziri mkuu mstaafu alifanya mambo makubwa hat a kuliko baadhi mwaziri wakuu waliopita apewe ni mzalendo na ni mpinzani wa kweli mwrnye upeo mpana pamoja uzee wake
APEWE STAHILI ZAKE
 
Kwani Mrema alipoongea alikuwa akitegemea kujua kama lukuvi ataichukua hotuba yake ili kulainisha mafao yake?
Mrema alikuwa Jembe mithili na Magufuli na Mwakiembe.. I have no complain on him. Alichofanya Mrema kwa enzi zake chatosha
 
Mrema anastahili kuendelea kulipwa fesha ya waziri mkuu mstaafu alifanya mambo makubwa hat a kuliko baadhi mwaziri wakuu waliopita apewe ni mzalendo na ni mpinzani wa kweli mwrnye upeo mpana pamoja uzee wake
APEWE STAHILI ZAKE
hakuna anaepinga kwamba asipewe lkn hoja n kwamba je ukihitaj stahiki zako ambazo n haki yako n lazma uiunge mkono ccm? mwenyewe niliumia sana na hiyo kaul na cha zaid nmeshawah kusikia kwamba hata kwenye masula ya ajira wakigundua ww n mtu wa upinzan hata kwa haruf ajira haupat!!! tunakwenda wapi?
 
Nilipokua nafuatilia bunge juzi mwenyekiti wa bunge alimpa nafasi waziri wa nchi sera uratibu na bunge ndg Lukuvi nafasi ya alichokiita kujibu alichosema prof Limbumpa baada ya hicho alichokiita majibu kwa Lipumba, mh Lukuvi alimsifia sana Mrema kwa mchango wake uliomfurahisha bila shaka na kuwafurahisha wakubwa wa ccm mpaka akafikia kumuahidi kwamba atahakikisha Mrema anapata mafao yak...e ,maswali ya kujiuliza

1. je ni haki ya Mrema kupata hicho Lukuvi anachookiita mafao au ni rushwa baada ya kuwafurahisha kwa mchango wake bungeni

2.kama ni haki yake inahitaji kujipendekeza kwao ndio upate haki yako?

3. hii inatufundisha nini kwamba mpaka tujipendekeze kwa ccm ndio tunaweza kupata haki yetu?

4. kwanini Watanzania tunaruhusu mambo ya kijinga haya yatokee katika nchi yetu kwanini tunaruhusu waziri atumie ofisi ya umma na rasilimali za umma kwa manufaa ya chama chao na serikali iliyoko madarakani

5.ni wangapi wataanza kujipendekeza kwa ccm na serikali yake ili wapate wanachokitaka je tutajenga demokrasia kwa njia hizi?
inakera sana

Kama waziri mkuu anapata mafao kwa nin naibu waziri mkuu na yeye asipate nusu ya mafao ya PM?
It was presidential appointment. Kwa mamlaka ya rais aliyopewa na bunge ku create position kama atsona inafaa.
mzee ruksa akatengeneza nafasi ya naibu waziri mkuu .mrema anastahili haki zake kama mtumishi.
Maalim seif mbona alikuwa akilipwa . Lowasa pamoja na kujiuzulu bado analipwa. mke wa sokoine analipwa mafao ya waziri mkuu sokoine.
 
Nilipokua nafuatilia bunge juzi mwenyekiti wa bunge alimpa nafasi waziri wa nchi sera uratibu na bunge ndg Lukuvi nafasi ya alichokiita kujibu alichosema prof Limbumpa baada ya hicho alichokiita majibu kwa Lipumba, mh Lukuvi alimsifia sana Mrema kwa mchango wake uliomfurahisha bila shaka na kuwafurahisha wakubwa wa ccm mpaka akafikia kumuahidi kwamba atahakikisha Mrema anapata mafao yak...e ,maswali ya kujiuliza

1. je ni haki ya Mrema kupata hicho Lukuvi anachookiita mafao au ni rushwa baada ya kuwafurahisha kwa mchango wake bungeni

2.kama ni haki yake inahitaji kujipendekeza kwao ndio upate haki yako?

3. hii inatufundisha nini kwamba mpaka tujipendekeze kwa ccm ndio tunaweza kupata haki yetu?

4. kwanini Watanzania tunaruhusu mambo ya kijinga haya yatokee katika nchi yetu kwanini tunaruhusu waziri atumie ofisi ya umma na rasilimali za umma kwa manufaa ya chama chao na serikali iliyoko madarakani

5.ni wangapi wataanza kujipendekeza kwa ccm na serikali yake ili wapate wanachokitaka je tutajenga demokrasia kwa njia hizi?
inakera sana[/QUOTE


Huo ni uthibitisho mwingine, usio na mashaka yoyote kuwa suala la mafungamano ya rushwa na CCM ni sawasawa na mafungamano ya mgonjwa aliyezidiwa na uji.

Kama ambavyo mgonjwa aliyezidiwa, anavyoutegemea uji umsogezee maisha yake, ndivyo hivyo hivyo kwa CCM, ambapo kinga yao peke yake inayowafanya waendelee kuwa madarakani kwa sasa, ni kutoa rushwa!!

Jaribu ku-imagine, Augustine Lyatonga Mrema, alikuwa Naibu Waziri mkuu, wakati wa utawala wa awamu ya pili, wa Rais Ali Hassan Mwinyi. Sasa kama kweli nafasi hiyo ya Naibu waziri mkuu, ilikuwepo kwa mujibu wa katiba yetu,mafao hayo Mrema, angeshalipwa siku nyingi.Ilikuwaje Mrema asilipwe mafao hayo, ambapo sasa ni zaidi ya miaka 20 imepita?!!

Alichosema Lukuvi, ambacho ndicho kinachoweza kufanyika, ni kwa Lukuvi kupeleka ombi 'maalum' hazina, ambako Waziri wake mdogo, ni kada mkubwa sana wa CCM, Mwigulu Nchemba, na kuziomba pesa hizo za walipa kodi 'zichotwe' ili 'azawadiwe' Augustino Lyatonga Mrema, kwa kazi nzuri ya 'kutukuka' aliyoifanya ya kuwasaliti Ukawa wenzake, na kubaki na kundi la Intarahamwe, ndani ya bunge la katiba!!

Ndiyo maana kipindi hiki, viwanda vya kuchapisha T/Shirt, Khanga na Vitenge,vinajiaandaa kwa msimu wao wa mavuno ya kupindukia, kwa kupata Tender nono nono toka CCM, ili Fulana, Khanga na Vitenge hivyo visambazwe na kugawiwa bure kwa mamilioni ya watanzania, kwa lengo moja tu, la kuibakisha CCM madarakani!

Ndiyo maana nimesema siku CCM watakapoacha kutoa rushwa kwa wananchi, ndiyo itakuwa mwisho wa wao kutawala,hiyo ni sawasawa, kama vile mgonjwa, ambaye ameandikiwa na daktari 'diet' ya uji, ambapo mgonjwa huyo, ataamua kukaidi na kuususa uji huo, ndiyo siku itakayokuwa mwisho wa kuishi duniani, ambapo atakata roho!!!
 
mimi nauunga mkono........kauli lukuvi.....kuwa cuf wana uhusiano na uamsho......

Uh mini nakaa kimyaa...maana CCM Z'bar wameshawahi kumzomea Amani Karume pale Dodoma kwenye vikao vya chama kuwa ndiye UAMSHO...sasa sijui CUF wameingiaje humo. Kwa vyovyote wote wana ajenda ya udini na ni hatari kwa nchi yetu.
 
Hii sasa kiboko, rushwa hadi Bungeni! Kwa CCM, rushwa ni kama hewa ya oxygen...bila rushwa ni kaburi tu lachungulia.

Ukitaka uwe na maisha mazuri nchi hii we jipendekeze kwa CCM baaas!
 
Kama ukweli asiseme?


Sent from my iPhone using JamiiForums.🔩🔨
 
"tumechoka ubaguzi, hatuwezi kuwa sehemu ya kundi la intarahamwe linalohamasisha ubaguzi ndani ya tanzania"
 
Mnakumbuka Mremba alijikomba kwa CCM kabla ya uchaguzi mkuu uliopita, kisha wakamchangia pesa za kwenda kuchukulia form za ubunge.

Sahihisho Mkuu wangu,anaitwa Mrema na si Mremba.Hii kaka yangu ipo hapa kwetu Bongo tu,kwingineko itakuwa maajabu yale saba.

Tatizo lingine kwa sababu ya kuwepo muda mrefu madarakani UKWELI kila mara ni uchochezi,huwa nafikiri ni bora UKWeLI unaouma kuliko UONGO unaopuliza kwani mwisho wa siku ni msiba.
 
Back
Top Bottom