MpigfilimbiwaHamelin
JF-Expert Member
- Aug 5, 2014
- 652
- 169
Nauliza tu wadau,
Jana usiku baada ya habari ITV, kulikuwa na hotuba ya uzinduzi kampeni ya CDM.
Pamoja na mengine ni vizuri tujue physical fitness ya rais mtarajiwa, Nilishindwa kujua Lowassa alitoa hotuba akiwa amesimama au alikaa? Nilishindwa kujua, kulikuwa kama na mirror/picture trick ?. Naombeni tujuzane - ile hotuba allitolea studio au home? alikuwa kasimama au kakaa?
Jana usiku baada ya habari ITV, kulikuwa na hotuba ya uzinduzi kampeni ya CDM.
Pamoja na mengine ni vizuri tujue physical fitness ya rais mtarajiwa, Nilishindwa kujua Lowassa alitoa hotuba akiwa amesimama au alikaa? Nilishindwa kujua, kulikuwa kama na mirror/picture trick ?. Naombeni tujuzane - ile hotuba allitolea studio au home? alikuwa kasimama au kakaa?