Hotuba ya Lowassa jana: Alisimama au kukaa?

Hotuba ya Lowassa jana: Alisimama au kukaa?

MpigfilimbiwaHamelin

JF-Expert Member
Joined
Aug 5, 2014
Posts
652
Reaction score
169
Nauliza tu wadau,
Jana usiku baada ya habari ITV, kulikuwa na hotuba ya uzinduzi kampeni ya CDM.
Pamoja na mengine ni vizuri tujue physical fitness ya rais mtarajiwa, Nilishindwa kujua Lowassa alitoa hotuba akiwa amesimama au alikaa? Nilishindwa kujua, kulikuwa kama na mirror/picture trick ?. Naombeni tujuzane - ile hotuba allitolea studio au home? alikuwa kasimama au kakaa?
 
Nauliza tu wadau,
Jana usiku baada ya habari ITV, kulikuwa na hotuba ya uzinduzi kampeni ya CDM.
Pamoja na mengine ni vizuri tujue physical fitness ya rais mtarajiwa, Nilishindwa kujua Lowassa alitoa hotuba akiwa amesimama au alikaa? Nilishindwa kujua, kulikuwa kama na mirror/picture trick ?. Naombeni tujuzane - ile hotuba allitolea studio au home? alikuwa kasimama au kakaa?

Anayewatuma kuandika upumbavu kama huu alaaniwe.

Mwambieni watanzania wamekwisha amua kwa pamoja kuiondoa ccm.

habari sijui ya kukaa, kusimama, kuchuchumaa, kulala kifudifudi, kubong'oa kamuulizeni jk.
 
Halafu alichanganyikiwa aliposema Zaire na Kongo kama nchi tofauti ambazo zitatumia bandari yetu ya Dar es Salaam. Pia kujitahidi kuzungumza haraka haraka ni hofu ya kuishiwa nguvu asiweze kumaliza kusema anachokusudia.
 
Nauliza tu wadau,
Jana usiku baada ya habari ITV, kulikuwa na hotuba ya uzinduzi kampeni ya CDM.
Pamoja na mengine ni vizuri tujue physical fitness ya rais mtarajiwa, Nilishindwa kujua Lowassa alitoa hotuba akiwa amesimama au alikaa? Nilishindwa kujua, kulikuwa kama na mirror/picture trick ?. Naombeni tujuzane - ile hotuba allitolea studio au home? alikuwa kasimama au kakaa?

Alisimama
 
Nauliza tu wadau,
Jana usiku baada ya habari ITV, kulikuwa na hotuba ya uzinduzi kampeni ya CDM.
Pamoja na mengine ni vizuri tujue physical fitness ya rais mtarajiwa, Nilishindwa kujua Lowassa alitoa hotuba akiwa amesimama au alikaa? Nilishindwa kujua, kulikuwa kama na mirror/picture trick ?. Naombeni tujuzane - ile hotuba allitolea studio au home? alikuwa kasimama au kakaa?

..jana mliulizwa kwenye kampeni za ukawa...je kwani magufuli mzima?...kama ni mkataba kweli kujua afya za wagombea...itisheni Wao kupima afya hadharani..kwa kuanza na ukimwi..alafu muone Kama mgombea wenu tu salama kiafya...fanyeni hivyo na majibu Yao wote yawekwe hadharani...kwa hii hoja nayo mtashindwa..ulizeni wataalam muambiwe..
 
Halafu alichanganyikiwa aliposema Zaire na Kongo kama nchi tofauti ambazo zitatumia bandari yetu ya Dar es Salaam. Pia kujitahidi kuzungumza haraka haraka ni hofu ya kuishiwa nguvu asiweze kumaliza kusema anachokusudia.

Sasa hapa ww na yeye nani mwehu? Hv hukufundishwa historia.
 
Nauliza tu wadau,
Jana usiku baada ya habari ITV, kulikuwa na hotuba ya uzinduzi kampeni ya CDM.
Pamoja na mengine ni vizuri tujue physical fitness ya rais mtarajiwa, Nilishindwa kujua Lowassa alitoa hotuba akiwa amesimama au alikaa? Nilishindwa kujua, kulikuwa kama na mirror/picture trick ?. Naombeni tujuzane - ile hotuba allitolea studio au home? alikuwa kasimama au kakaa?

ali lala kwenye kitanda basi. Unatakaje basi.
 
Nauliza tu wadau,
Jana usiku baada ya habari ITV, kulikuwa na hotuba ya uzinduzi kampeni ya CDM.
Pamoja na mengine ni vizuri tujue physical fitness ya rais mtarajiwa, Nilishindwa kujua Lowassa alitoa hotuba akiwa amesimama au alikaa? Nilishindwa kujua, kulikuwa kama na mirror/picture trick ?. Naombeni tujuzane - ile hotuba allitolea studio au home? alikuwa kasimama au kakaa?

kwa hali kama hii, imeshadhihirisha udhaifu wake.......kama amesindwa kusimama na kuongea na kujielezea ....je ataweza simamam mikutano mikubwa kama ya UN??? ......tukiacha ushabiki pembeni na kufikiria ukweli lowassa kiwango chake bado kuongoza maelfu ya watu wote hawa....kanakwamba pamoja na kuwa recorded .....still ametumia 19 min tu, na speech yake haijanishawishi saana...zaidi ya elimu, je kutoka kwa babu sea itanisaidia nn mimi kama mtanzania??
 
Sasa hapa ww na yeye nani mwehu? Hv hukufundishwa historia.

Kongo na Zaire ni kitu kimoja, hata kama alimaanisha Congo Brazaville, wala haina haja kutumia Bandar ya tz cos enyewe iko na Bandar yake Atlantic Ocean.
Kubali mzee kilaza yule
 
Pale hapakuwa na hotuba Bali uzinduzi wa kampeni, pia hotuba si lazima iwe ya Massa kadhaa ndipo iitwe hotuba. Hotuba inaweza kuwa hata ya dk 5 yenye kuainisha malengo ni hotuba bora kuliko hotuba ya masaa iliyojaa uongo na mambo yasiyo tekelezeka.
 
Oya nyie manyumbu mmeulizwa swali msianze mitusi yenu hapa, mbona mnakuwa kama mipanya kujibu hovyo hovyo? Alikuwa amesimama ama amekaa? Wengine tulikatiwa umeme kwahiyo hatukuweza kuona live acheni upumbavu mnazingua.
 
Nauliza tu wadau,
Jana usiku baada ya habari ITV, kulikuwa na hotuba ya uzinduzi kampeni ya CDM.
Pamoja na mengine ni vizuri tujue physical fitness ya rais mtarajiwa, Nilishindwa kujua Lowassa alitoa hotuba akiwa amesimama au alikaa? Nilishindwa kujua, kulikuwa kama na mirror/picture trick ?. Naombeni tujuzane - ile hotuba allitolea studio au home? alikuwa kasimama au kakaa?

hivi kumbe vilema mwiko kuomba ridhaa ya watanzania?
 
..jana mliulizwa kwenye kampeni za ukawa...je kwani magufuli mzima?...kama ni mkataba kweli kujua afya za wagombea...itisheni Wao kupima afya hadharani..kwa kuanza na ukimwi..alafu muone Kama mgombea wenu tu salama kiafya...fanyeni hivyo na majibu Yao wote yawekwe hadharani...kwa hii hoja nayo mtashindwa..ulizeni wataalam muambiwe..

We pimbi kuwa na ukimwi haimaanishi huwezi kuwa rais..ukimwi hau affect thinking ya mtu..ila Parkinson desease inaathiri uwezo wa mtu kufanya maamuzi...watu watakuwa wanamsubiri rais akiwa hayuko vizuri wanampelekea faili aanguke wino...hatutaki kuonja sumu bana
 
kwa anayesema yeye haumwi anajidanganya kwa sababu magonjwa yapo ya kila aina makubwa kwa madogo ya kuambukiza na yasiyoambukiza yakuzaliwa nayo na yanayotokana na hali ya maisha je wewe uko kundi gani hata umnyooshee kidole mwenzio?
 
Mnaoshabikia magonjwa ya watu angakieni Mungu asiwageuzie nanyi mkaugua the same illness tena even severe than that. Mgonjwa hachekwi huurumiwa; magufuli ni mgonjwa ahurumiwe, EL ni mgonjwa na ahurumiwe na wote tuwaombee wafike 25/Oct wakiwa na afya
 
Back
Top Bottom