DALLAI LAMA
JF-Expert Member
- Jan 31, 2012
- 8,652
- 2,642
Wanabodi
Spika Makinda ameanza kuwatambulisha wakubwa wa polisi akiwemo IGP Mangu,Kamishna wa Magereza na wengineo.
Hii inaonyesha kuwa bajeti ya wizara ya mambo ya ndani itasomwa punde.
UPDATE 1_________
..Anaanza Waziri wa Mambo ya Ndani Mathias Chikawe kuwasilisha bajeti.
UPDATE 2_______
..Ni saa 19:49 usiku Chikawe anamaliza kuwasilisha hotuba ya bajeti kwa taabu kutokana na tatizo la umeme kukatikakatika bungeni..
Lema atawasilisha bajeti kivuli kesho asubuhi.
Spika Makinda ameanza kuwatambulisha wakubwa wa polisi akiwemo IGP Mangu,Kamishna wa Magereza na wengineo.
Hii inaonyesha kuwa bajeti ya wizara ya mambo ya ndani itasomwa punde.
UPDATE 1_________
..Anaanza Waziri wa Mambo ya Ndani Mathias Chikawe kuwasilisha bajeti.
UPDATE 2_______
..Ni saa 19:49 usiku Chikawe anamaliza kuwasilisha hotuba ya bajeti kwa taabu kutokana na tatizo la umeme kukatikakatika bungeni..
Lema atawasilisha bajeti kivuli kesho asubuhi.