Hotuba ya Lema Bungeni - Mei 15, 2014

Hotuba ya Lema Bungeni - Mei 15, 2014

TBC wanaanza kuonesha dalili kuwa hawatamuonyesha mh Lema naona matangazo yaanza kukatika mda huu Chikawe akiwa anahutubia ikifika kwa Lema itakatika kabisa hii tbccm bhana!

Kweli,TBC imeanza kwikwi..

Aminia Kamanda Millya,hongera kupata jiko,sema hujanialika.
 
naanza kupata wasiwasi kuwa TBCCM itakata matangazo yake pindi kamanda Lema atakavyoanza tu kuwasilisha maoni ya kambi rasmi ya Upinzani Bungeni, naandika hivyo baada ya kuona TBCCM imeanza kuugua Dengue mda huu....
 
TBC wanaanza kuonesha dalili kuwa hawatamuonyesha mh Lema naona matangazo yaanza kukatika mda huu Chikawe akiwa anahutubia ikifika kwa Lema itakatika kabisa hii tbccm bhana!

wewe ni msukule mpya wa ufipa
 
Mleta uzi tupe updates za mambo ya msingi, hizi ligi za Lema si mahala pake
 
TBC imeenza kuzinguwa taratibu...tuna waomba wadau watusaidie tuweze kupata hiyo hotuba baada ya kusomwa
 
Muda uliobaki ni mdogo, Lema anaweza kuwasilisha hotuba yake kesho.
 
kama mtu mzima unaandika njozi inamaanisha unalala mapema sawa na watoto na hivi sasa ndoto zimekukolea
 
TBC wanaanza kuonesha dalili kuwa hawatamuonyesha mh Lema naona matangazo yaanza kukatika mda huu Chikawe akiwa anahutubia ikifika kwa Lema itakatika kabisa hii tbccm bhana!

olemillya ndio wewe tapeli ulieoa juzi juzi?
 
Naona hata chikawe anasoma kama mjamzito
Au ndio mbinu ifike saa 2 tbc wajifanye ni taarifa ya habari wanaweka
 
james ole milya unajidhalilisha...umefilisika kwa hoja na umefulia.kajipange upya
 
naanza kupata wasiwasi kuwa TBCCM itakata matangazo yake pindi kamanda Lema atakavyoanza tu kuwasilisha maoni ya kambi rasmi ya Upinzani Bungeni, naandika hivyo baada ya kuona TBCCM imeanza kuugua Dengue mda huu....

mkuu, kumbe siku hizi wewe ni mganga wa kienyeji umeamua kuchukua mikoba ya babu zako??? hongera sana
 
Naona hata chikawe anasoma kama mjamzito
Au ndio mbinu ifike saa 2 tbc wajifanye ni taarifa ya habari wanaweka

anamuiga prof. kulikoyela kahigi, waziri kivuli wa mbowe aliyeshindwa kusoma hotuba yake
 
Back
Top Bottom