Atahutubia kesho baada ya kipindi cha maswali na majibu
Kesho lzna asbh wakate umeme hyo hotuba ya Lema ni nona kwa serkali ya kikwete
kamanda nasikia harusi ya tapeli olemillya ilihudhuriwa na misukule yote ya ufipa ikiongozwa na mliberali lema
mkuu ,huyu tapeli anashangaza sana.. Badala ya kumuwaza bi. Harusi wake anamuwaza lema..hawa waliberali wana matatizo sana
vijana wa ngulelo arusha wamekunywa viroba kwa fujo huku wakisubir hotuba ya lema
vijana wa ngulelo arusha wamekunywa viroba kwa fujo huku wakisubir hotuba ya lema
Naona TBC wameanza kuUmwa DENGUE..