Mzizi wa Mbuyu
JF-Expert Member
- May 15, 2009
- 7,323
- 6,810
KK kwa kweli leo katoa somo kubwa sana kwa Walimwengu leo!! Kaanza na Nyerere..katikati akijiweka weka yeye binafsi na juhudi zake ..akamaliza na Nyerere...watu watambue umhimu wa katika ukombozi wa watu wote wanoonewa duniani. Akimaanisha mtu kama Madiba alipokuwa gerezani na likuwa mnyonge tu asieweza kitu.....lkn JK Nyerere alijitoa kumpigania!