Hotuba ya Kambi Rasmi Bungeni, Wizara ya Katiba na Sheria

LISU kachemka jana... Sijaona ata hoja ya kujibiwa ya LISU... Analaumu mpaka kuwajibisha Watendaji.. Jana tumeona Meya wa kinondoni kupitia baraza la Madiwani wamesimamisha watendaji, nimeona ukawa wakimsifia, lengo wafia Siasa, ni kua serikali ya CCM ISICHUKUE Hatua, ili wailaumu, na ikichukua Hatua wanalaum

Rais Magufuli husigeuke nyuma, endelea kukaza kamba, maana lengo la wapinzani usichukue Hatua alafu waje waseme, CCM inalea ufisadi
Afadhali kuna watu wenye uwezo wa kusoma na.kutambua kama ww Pongezi mkuu umeelewa nilimanisha nn
 
Naona porojo tu hapa,lissu alikua anawasilisha hotuba ya upinzani kama waziri kivuli wa sheria na katiba!sasa mleta mada na comment zako za kijinga,ulitaka lissu azungumzie maji au umeme bungeni wakati anawasilisha hotuba ya katiba na sheria?Mbona mnajitoa ufahamu kiasi hiki?Ulitaka afumbie macho ukiukwaji wa sheria ndio mfurahi?Mi siwaelewi mnataka nin?Alichosema kina uwongo?
 
Kumbe umesoma kwenye gazeti na wewe unaamini kuwa hajastaafu kwani wiki moja iliyopita ulikuwa mbele yake.Muda wa wiki moja ni mrefu na lolote lingewezekana kutokea bila wewe kujua.Hata hivyo kati yako na Lissu ni yupi anaeweza kuwa na taarifa sahihi za mahakama kuu?(up todate records)
Yaani tatzo nyinyi mahaba..sasa Lissu kupata updates za haraka hivyo yeye anafanya kazi mahakamani..ndo maana nyie mnaamini kila anachosema uyo..kila mtu anaweza pata updates haijalishi ni nani
 
Lisu kashusha nondo za kikatiba na sheria,cha kushangaza kuna Mbunge alimuita lisu chizi,hivi uchizi wa lisu ni kusema ukweli jamani?
Watu wanashindwa kujibu Hoja kwa hoja wamekalia majungu na kejeli za ajabu ajabu.alafu kuna Watu wanakuja humu Kuwapa shavu kwa kumuita lisu chizi wa mirembe,Kumbe ndio maaana hawataki tuone Bunge live,ili tuchambue pumba na mchele.
 
Naona porojo tu hapa,lissu alikua anawasilisha hotuba ya upinzani kama waziri kivuli wa sheria na katiba!sasa mleta mada na comment zako za kijinga,ulitaka lissu azungumzie maji au umeme bungeni wakati anawasilisha hotuba ya katiba na sheria?Mbona mnajitoa ufahamu kiasi hiki?Ulitaka afumbie macho ukiukwaji wa sheria ndio mfurahi?Mi siwaelewi mnataka nin?Alichosema kina uwongo?
Kwahiyo hayo majipu unashauri waende mahakamn? Kilaza sana mkuu..ila usjari bila ww wengne tusingeonekana wa maana
 
Nilishawaambia kichwa cha Ilboru-UDSM-Warwick sio mchezo. Sasa mtoa hoja Primary umerudia shule karibu wilaya zote, sekondari ya miaka minne ww umesoma miaka karibu saba unahama shule tu, A level hiyo hukupita kabisa umeunga unga vyuo vya kariakoo wee mpaka basi, chuo ukapiga kitu cha AMAZON college sasa utamwelewaje Lissu? haiwezekani. Tuache sis tunaomwelewa.

Mkuu nimecheka Sana! Hapo kwenye " ukapiga kitu cha AMAZON college"
 
"Kwa maoni yetu, Mheshimiwa Spika, katika mazingira haya, tatizo la msingi la Zanzibar sio Jecha Salim Jecha wala ZEC wala Ali Mohamed Shein. Hawa ni vibaraka tu wasiokuwa na nguvu wala uhalali wowote. Bila nguvu ya Tanganyika vibaraka hawa hawawezi kudumu madarakani kwa muda mrefu. Tatizo la msingi ni ukoloni wa Tanganyika kwa Zanzibar ambao umevikwa joho la Muungano. Bila kulivua joho hili na kushona lingine badala yake, Zanzibar haitakuwa huru na itaendelea kutawaliwa na Tanganyika kisiasa, kiuchumi na kijeshi".
Tutafute mfadhili ili bango hili tulipachike pale michenzani kwenye mnara wa Mapinduzi kama kumenzi kweli kweli Hayati A.A.Karume
 
Nilishawaambia kichwa cha Ilboru-UDSM-Warwick sio mchezo. Sasa mtoa hoja Primary umerudia shule karibu wilaya zote, sekondari ya miaka minne ww umesoma miaka karibu saba unahama shule tu, A level hiyo hukupita kabisa umeunga unga vyuo vya kariakoo wee mpaka basi, chuo ukapiga kitu cha AMAZON college sasa utamwelewaje Lissu? haiwezekani. Tuache sis tunaomwelewa.
Umeua mkuu
 
Nilishawaambia kichwa cha Ilboru-UDSM-Warwick sio mchezo. Sasa mtoa hoja Primary umerudia shule karibu wilaya zote, sekondari ya miaka minne ww umesoma miaka karibu saba unahama shule tu, A level hiyo hukupita kabisa umeunga unga vyuo vya kariakoo wee mpaka basi, chuo ukapiga kitu cha AMAZON college sasa utamwelewaje Lissu? haiwezekani. Tuache sis tunaomwelewa.
Msomi usiye na kazi na nina imani GPA yako itakuwa imepita grade tunanozijua labda ya 7.0
inaashiria wazi uko Illiboru ulipita kama mfagiaji chuo nina amini haujawahi kwenda kabisa ila sisi degree holders hatuwezi kutamba na elimu tuliyonanayo ila ukweli ni kwamba hauwezi kuwa kama mm ilo kaa ukijua MBUMBU WW
 
Kama umeisoma hotuba ya Tundu Lissu vizuri, utakubaliana na mimi imekaa kisheria zaidi. Hakuna ambapo Lissu amesema mafisadi wasiwajibishwe hakuna ndugu zangu! Rudieni kuisoma mtamuelewa tu. Anachokipinga ni utaratibu unaochukuliwa kama mtaji wa kisiasa wa kutumbua majipu kwa kuwa wananchi walio wengi wanapenda kusikia jipu limetumbuliwa. Hivyo wanasiasa kuitumia hiyo kama fursa kwa ajili ya mtaji wao kisiasa.

Jana tumesikia baraza la madiwani na Meya wa Kinondoni wamefanya maamuzi mazuri kwa pamoja kumsimamisha kazi mwanasheria mkuu wa Kinondoni, naamini sheria zilifuatwa bila shaka Lissu anataka iwe hivyo!
 
Upande waliochagua Chadema kupingana na timua timua ya watendaji wabovu serikalini haitawasaidia kisiasa, mtaji wao wa ufisadi walisha ula, wateja wa biashara ya siasa ni wananchi, sasa nyie mnapingana na juhudi za kumsaidia mwanachi na matatizo yake, hakuna mtu atawaelewa.

Kama nia ya utumbuaji huu ni kumsaidia mwanachi mnyonge wa Tanzania, mtapiga kelele sana na watu hawatawaelewa.
 
Kweli ukiwa na uwezo mdogo wa UTAMBUZI unakuwa kero kila mahali..

You guys attack me
attack the post plz
 
Jana bungeni ukichangia wizara ya katiba na sheria uliwaambia waliotumbuliwa waende mahakamani kushitaki, kwa kuvunjwa haki zao za msingi, za kiutumishi.
Naomba kazi hii ya utetezi zidi hawa jamaa uifanye wewe kwani kasoro hiyo umeiona, Nahakika watashinda.
 
ILI IWEJE UNAFIKIRI ALIKUWA ANATUMBUA KIFALA ANAJUA ANACHOFANYA
 
Nimezidi kumuongezea huyu jamaa alama, sasa ana 96%. Jana kuna jamaa yangu mmoja alinichekesha sana aliposema kuwa huyu jamaa kama mila, desturi na imani ya dini yake zinamruhusu, aje atampa dada yake kusudi hiyo mbegu iwemo kwenye ukoo wao. Tundu Lissu ni jasiri na mwenye kujua nafasi yake ya uanasheria kukosoa na kushauri. Mungu azidi kumsimamia.
 
Ni dunia nzima.
Umesema kweli tupu. Wanasheria wengi utazama midomo ya maboss wao kabla ya kufanya maamuzi. Boss akinuna anabadilka na kutoa hukumu au statement tofauti. Angalia mfano Chenge kwa sababu ya ulafi wake mwenyewe na baadhi ya washirika wake, anashiriki kuifungishia nchi yake mikataba tete na ya kuiuza nchi yake ilmradi yeye na wachache wenzake wananufaika.
 
Hii haswa ni hatari kwa mwanasiasa anayetegemewa na vichwa vya wanachama wake zaini ya MILION wa UKAWA..

_Imefika wakati wanashindwa kujua ni nini dhamira ya chama hicho kilocho panda chart kwa KUPINGA UFISADI lakini kwa sasa wapo DILEMA

_Imefika wakati sasa LISSU amekuwa kama MC(MSEMA CHOCHOTE) na soon atakuwa kama MOURINHO msema.....kila dakika anafosi kuongea lakini kila akiongea lazima apinge tu..LAKINI hajawahi kuleta hoja kupinga maswala ya KIUCHUMI kila siku yeye na serikali kwani ni mbunge wa jimbo la MAGOGONI??

_IMEfika wakat tumekubali kuwa Lissu ameishiwa hoja lakini sasa anashindwa kukaa kimya kwa maana anaitaji Mailage kubwa kisiasa though amekuwa sio mjenga hoja amekuwa kama watu wa kigoma MBISHI
33e1f28b26a73c0b22529baed2421cd1.jpg
Ngoja waje kukujibu
 
Back
Top Bottom