Hotuba ya Kambi Rasmi Bungeni, Wizara ya Katiba na Sheria

Tuambi
Hii haswa ni hatari kwa mwanasiasa anayetegemewa na vichwa vya wanachama wake zaini ya MILION wa UKAWA..

_Imefika wakati wanashindwa kujua ni nini dhamira ya chama hicho kilocho panda chart kwa KUPINGA UFISADI lakini kwa sasa wapo DILEMA

_Imefika wakati sasa LISSU amekuwa kama MC(MSEMA CHOCHOTE) na soon atakuwa kama MOURINHO msema.....kila dakika anafosi kuongea lakini kila akiongea lazima apinge tu..LAKINI hajawahi kuleta hoja kupinga maswala ya KIUCHUMI kila siku yeye na serikali kwani ni mbunge wa jimbo la MAGOGONI??

_IMEfika wakat tumekubali kuwa Lissu ameishiwa hoja lakini sasa anashindwa kukaa kimya kwa maana anaitaji Mailage kubwa kisiasa though amekuwa sio mjenga hoja amekuwa kama watu wa kigoma MBISHI
33e1f28b26a73c0b22529baed2421cd1.jpg
Tuambia cha uongo alichokisema Lissu. Tunataka kujua.
 
Issue sio kuwa chadema haita stand..the question is "itasimama wapi na itasimimia nini? " kama wanajikweza kwa majipu??

Ngoja wanaofukuzwa ovyo waende mahakamani ndipo utajua nini kinachosemwa. Nyie wengine huwa mnapata mang'amuzi baadaye sana.
 
Kumbe umesoma kwenye gazeti na wewe unaamini kuwa hajastaafu kwani wiki moja iliyopita ulikuwa mbele yake.Muda wa wiki moja ni mrefu na lolote lingewezekana kutokea bila wewe kujua.Hata hivyo kati yako na Lissu ni yupi anaeweza kuwa na taarifa sahihi za mahakama kuu?(up todate records)
Mimi nipo mahakamani karibu kila siku, Tundu Lisu haendi kila siku, wazee wa corridor za mahakama tunajuana
 
Ushauri wangu wa bure kwa watendaji na watumishi hao ni kwamba wakafungue mashauri Mahakama Kuu ya Tanzania kupinga kutumbuliwa kwao majipu na watu wanaojiita Mawaziri lakini hawana hata job description! Kwenda kwao mahakamani sio kutawasaidia kupata haki zao, bali pia kutakomesha vitendo vya kuendesha nchi kienyeji enyeji na bila kufuata sheria, vinavyoelekea kushamiri chini ya utawala huu wa Rais John Pombe Magufuli.

Ase ! Na kwamba yeye Lissu awe Wakili wao siyo?.
 
Eti mwanasheria mzuri kutumia Ulaghai na kuwaaminisha wananchi, unfortunately hata Great Thinkers! Oh my God kwahiyo anataka yale mambo ya kwenda slow slow, wanasheria wapate ulaji wa kuwa mawakili kwenye makesi. Tumekwisha toka huko sisis tunataka kwenda mbele na sikurudi nyuma. Magufuli go tuko pamoja nawe achana na walaghai hawa.
Tena imenikumbusha nilivyosafiri na huyu bwana ndani ya ndege akielekea kigoma. Eti kuajiriwa Tanzania ulitakiwa kuwa na kadi Ya TANU anamwambia Raia wa Uganda jamani!?!>!>! Uongo kweupe. Eti Watanzania wanakula mapunky wakati minofu inapelekwa uzunguni yaani anaside na wazungu kutoa propaganda kuichafua nchi. Mbona hakusema kama Tanzania ina policy ya kuwa Sato ni kwa ajili ya Watanzania? hawauzwi nje?!?!?!consumption?!?!?! ananchi wake? Oh my God tukiwa na wasomi waliobobea lakini wakakwa laghai iti is so dangeourous!?!?!
Msomi huyu ni hatari kwa mstakabali wa maendeleo ya nchi yetu kwani amakamata akili ya kuanzia wasioenda shule mapaka walioenda. Ni hatari mnoooo!
Mkuu rudia kusoma ulichoandika, halafu eti we ndo president advisory. Pumba mwanzo mwisho sio Lazima kuchangia unaweza kuwa msomaji tu kama mimi. Nina miaka zaidi ya 6 hapa jf lkn nimeshindwa kuvumulia pumba zako.
 
Back
Top Bottom