Mulhat Mpunga
JF-Expert Member
- Oct 28, 2010
- 27,263
- 16,287
HAHAHAHAMkuu Makene tafadhali tuwekee audio au video.
Maana sauti ya Lissu ni zaidi ya hakim mfawidhi.
HAHAHAHAMkuu Makene tafadhali tuwekee audio au video.
Maana sauti ya Lissu ni zaidi ya hakim mfawidhi.
Mkuu usitoke povu kwa kitu kidogo ambacho unaweza kueleweshwa hata na mtoto wa darasa la pili.Tambua nyakati sio kila kitu lazima uwe against kisa umeona jina na Mtu uliye na mahaba naye..namjua lissu nadhan kipindi upo Sekondari.naandika nachokijuailibidi kwanza usome hotuba ya LIsu harafu uelewe maudhui then uje na hoja yako.
Kama umesoma hotuba ndio ukaandika pumba hizi basi utakuwa una upingufu fulani, kama hujasoma itafute imo humu ila wapotoshaji wanao tumia weakness ya akili ndogo ya majority ya watanzania wanawaburuza.
Umechangia kwa mahaba punguza wivuSi wanakunywa maji machafu kwa sababu ya wezi wachache ambao Lisu ana watetea?
Hizo sheria zake akzitumie huko chadema?
You still need 10 year of empowerment ili muweze kutambua mambo (weman decade) nadhani mkuu ikiisha mtakuwa watambuzi wazuriKwanza kabla ya kuhoji kwanini hatoi hoja ya kupinga maswala za kiuchumi,unajua taaluma ya Lissu?
Yeye hoja zake zipo katika sheria aliyobobea.
Haya sasa,rudi ukaandike thread nyingine maana nimeshakupa mwanga.
Acha kukurupuka,usidhani hoja zinajengwa kimasikharamasikhara tu.
Issue sio kuwa chadema haita stand..the question is "itasimama wapi na itasimimia nini? " kama wanajikweza kwa majipu??MPO KWA AJILI YA KUPONDA SIJUI MPOJE kobe akiinama anatunga sheria chadema ipo hai na itaendelea kusimama daima
Ukiunda Sambarai Forum utafanya Hivyo ila Sio JF i wish watu wwnye mahaba kama ww mngekuwa hampo humu baai Great thinkers tungeenjoy FACTUAL ARGING sasa ndo mpoo kila kufikiria mnatumia akili za walioko bungeni...hata mkiambiwa mjenge hoja hamwezi mnasubiri mkalilishwe na LISSUIfike mahali sasa moderators wawe wanazipitia threads zinazoanzishwa humu na kujiridhisha Kwanza. La sivyo thread kama hii ni kuizalilisha Jf. Maana watu wengine wameshajidhailisha tokea kwenye familia zao
Never ever, over my dead body!Ukiwa na akili ndogo huwezi mwelewa ndo maana huwezi mwelewa hata kwa mwaka mzima ! Ghosryder scratch your brain just a bit you will appreciate the guy!
Kuna watu wana akili kama yako kweli humu JF? NGOJA Nisubiri hapa chini labda watakuwepoHawa ngedere wa kijani shida kweli kweli, wamekaririshwa vitu wasivyoviamini lakini kwa sababu ya njaa wanajiropokea tu ili wadake buku 7 yao.
Unaweza kustaafu,na bado ukaendelea kufanya kazi kwa "Mkataba"...Hii haikuondolei sifa yako ya "Ustaafu"Mimi ni mfuasi wa Lisu ila kwa leo nimesoma gazeti mwananchi kuwa eti Jaji Mkuu astaafu kwa vile Jaji Masati waliosoma wote alishastaafu kitambo ni uongo. Ni wiki moja hivi iliyopita nilikuwa mahakama ya rufani mbele ya Mh. Jaji Masati.
Mimi ni mfuasi wa Lisu ila kwa leo nimesoma gazeti mwananchi kuwa eti Jaji Mkuu astaafu kwa vile Jaji Masati waliosoma wote alishastaafu kitambo ni uongo. Ni wiki moja hivi iliyopita nilikuwa mahakama ya rufani mbele ya Mh. Jaji Masati.