Tlaatlaah
JF-Expert Member
- May 18, 2023
- 8,756
- 12,024
sio woteWatawala kutoka Afrika hasa kusini mwa Sahara desert,ni wajinga wa kutupwa,hizo hutuba uko UN ni ishara ya ujinga wao,ambao wamejikita katika kutoa lawama badala ya kutafuta suluhu ya matatizo,wao wanawaza chaguzi tu kuliko kutatua matatizo ya wananchi.