...Si kila mtu ni Muajiriwa Kijana. Kuna akina sisi ambao ni wakulima tu Shamba huku na kuingia JF ni Burudani tu.
Kwa maneno ya Aina hiyo uliyotumia ambayo kwa uelewa wangu hutumiwa na waimbaji wa Mipasho na 'Vidole Juu' tu inaonyesha jinsi ulivyoguswa na jinsi usivyoweza kuhimili critism.
Kwa majibu ya Aina ya Uliyoandika itakuchukua muda mrefu sana kufikia Sifa ambazo umejipigia Promo kuwa nazo na hii ni kama pia Muajiri wako bado atakuwa tayari kuendelea na mfanyakazi ambaye yuko sooo quick to throw words at someone ambaye wametofautiana naye kiddogo tu!!!
Lastly, ulilitafakari hilo neno la kwanza kabisa la mchango wangu la 'Labda'????
Ubarikiwe.🙂