mtoto matataa
JF-Expert Member
- Sep 15, 2012
- 391
- 249
naona hapa kuna kufagiliana...haya usikute post zote hizi mtu mmoja. Adrian Stepp
umenichekesha,so u mean anaweka post nakuanza kujipa promo mwenyewe.itakuwa ajabu sana
naona hapa kuna kufagiliana...haya usikute post zote hizi mtu mmoja. Adrian Stepp
kupitia JFadrian anafanya poa sana jamani, watangazaji wengi huwa wanafelishwa na aina ya mahojiano wanayo fanya ila kijana huyu yuko juu sana...Natamani apewe nafasi ya kumtwanga maswali Rais JK hapo mtakubali... hoja, sera na makashfa yote ya nchi hii inayajua hyu dogo sipati picha Big up Adtian
Wamuite mwigulu atwambie mbona cku hizi hatoi movie? Au vp second hand!
Miye ni mfuatiliaji mzuri wa kipindi cha hotmix Eatv; ni kipindi kizuri cha habari mchanganyiko kikiongozwa na kijana adrian. Ninavutiwa sana 'interview' katika kipindi hicho; maswali ambayo anawahoji wageni yanakuwa technical au magumu ambapo yanatoa changamoto kubwa kwa wageni (kama awajajipanga vizuri). Nakumbuka kuna siku ambaye alikuwa naibu waziri wa uchukuzi alimwambia backround: "kijana una maswali magumu" .Wageni kadhaa wameumbukaaaa.... Teh teh teh
Lini mkuu imetokea???
Lini mkuu imetokea???
Dah apumzike kwa amani,post imenikumbusha Fatana Ramole sijui bado yuko EATV. Kitambo sana sijatazama TV
Tuonyeshe Mfano!Miye ni mfuatiliaji mzuri wa kipindi cha hotmix Eatv; ni kipindi kizuri cha habari mchanganyiko kikiongozwa na kijana adrian. Ninavutiwa sana 'interview' katika kipindi hicho; maswali ambayo anawahoji wageni yanakuwa technical au magumu ambapo yanatoa changamoto kubwa kwa wageni (kama awajajipanga vizuri). Nakumbuka kuna siku ambaye alikuwa naibu waziri wa uchukuzi alimwambia backround: "kijana una maswali magumu" .Wageni kadhaa wameumbukaaaa.... Teh teh teh