Erythrocyte
JF-Expert Member
- Nov 6, 2012
- 117,672
- 218,181
Shida kubwa ya wanaojiita wanaccm unaowajua Tanzania ni kupata hela ya kujikimu tu , hawana uwezo hata wa kuhoji chochote
Ndugu yangu vijana wa CCM huwa wanajenga hoja kama wamekatwa vichwa vimehifadhiwa kwenye masanduku Lumumba.Mbunge ndio financer? Niko hapa Isoko, na ninatembea almost kila Kijiji kwa ajili ya biashara zangu za minadani, usafiri ni wa hovyo, maji hamna, huduma za afya ni za hovyo, watu wanatolewa hospital wanapelekwa kwa waganga na kwenye maombezi.
Hiyo miradi iko wapi? Sisi watu was pande hii tumeikosea nini serikali?
Mnasema wapinzani wametuchelewesha Sana. Mbona hili Jimbo halijawahi kuwa chini ya upinzani?
Benki ya masikini ni tumbo lake.Shida kubwa ya wanaojiita wanaccm unaowajua Tanzania ni kupata hela ya kujikimu tu , hawana uwezo hata wa kuhoji chochote
Magofu mengine yanaandaliwaKuna haja ya ku practice uzalendo kwa vitendo
Jiwe the everlasting manMagofu mengine yanaandaliwa
Mbwiga sii mbunge wetu.Labda mbunge ni mbwiga hujawaona wenzake Taletale wa Morogoro na Mtemvu wa Kibamba walivyochangamka!
Miaka 30 ijayo tutafanya utalii Chato kama ule unaofanyika sasa Bagamoyo kuangalia MagofuJiwe the everlasting man
na bahari pia akiwezaAhamishe na mlima Kilimanjaro aupeleke Chato kwma alivyohamisha wanyama.
Chatooooooo!