Tutayabomoa akimaliza muda wake.Hoteli za namna hii Mobutu alijenga nyingi sana kule wilayani Kwake sasa hivi ni makazi ta panya.
Hauko serious mkuu, ya kweli hayo?kumbukeni morogoro hamna airport
Katiba mpya haiwezi kuwa dawa kama hakuna watu wa kuilinda i.e. wananchi. Pamoja na ubovu wa katiba hii hii tuliyonayo bado kuna mambo au vifungu vizuri sana, lakini bado ameweza kuvikiuka na kufanya apendavyo kwa sababu hakuna wa kumuuliza. Hivyo hata ikiwepo katiba mpya nzuri sana ataikunjia mfukoni na atende atakavyo kwani anajua hakuna kizuizi.Dawa nI Katiba mpya ili tupunguze nguvu za mtu mmoja laa sivyo atakuja mtu aseme achimbiwe Ziwa kijijini kwake
Morogoro kiwanja nafikiri kipo kule Ngerengere Airforce Base ..Hauko serious mkuu, ya kweli Ayo?
Hayo mahotel yatageuka kuwa magofu mara tu atakapotoka madarakani.
Mtalii gani ataenda CHATO? Kwa lipi?
Israel mtoa roho hayuko likizoNi hapo asipotoka tu sasa..
Nimetokwa na machozi !Ndugu yangu vijana wa CCM huwa wanajenga hoja kama wamekatwa vichwa vimehifadhiwa kwenye masanduku Lumumba.
Ukisikiliza vilio vya wabunge pale Bungeni kuhusu shida zao majimboni, kisha tazama Rais anavyotumia nafasi yake kuelekeza miradi Chato kwake! Huyu mtu ni MBAGUZI na mwenye roho mbaya sana.
Katiba mpya haiwezi kuwa dawa kama hakuna watu wa kuilinda i.e. wananchi. Pamoja na ubovu wa katiba hii hii tuliyonayo bado kuna mambo au vifungu vizuri sana, lakini bado ameweza kuvikiuka na kufanya apendavyo kwa sababu hakuna wa kumuuliza. Hivyo hata ikiwepo katiba mpya nzuri sana ataikunjia mfukoni na atende atakavyo kwani anajua hakuna kizuizi.
Tena kwa lipi? Maana duniani kote watalii wana kwenda kuona Kilimanjaro, Ngorongoro, Meru, Serengeti na Zanzibar tu! Wakienda Rwanda wanafuata hivyo, wakienda Malawi ni kuona Kilimanjaro tu! Chato wanafuata nini?Hayo mahotel yatageuka kuwa magofu mara tu atakapotoka madarakani.
Mtalii gani ataenda CHATO? Kwa lipi?