Hoteli ya kitalii Arusha hali tete

Hoteli ya kitalii Arusha hali tete

May Day

JF-Expert Member
Joined
May 18, 2018
Posts
6,367
Reaction score
9,111
Nimemuona na kumsikia Meneja wa moja ya Hoteli kubwa na maarufu ya Kitalii ya Arusha kwenye taarifa ya habari usiku huu anasema/anajitetea kwa Maofisa wa Serikali kuwa Hoteli ile ina vyumba mia tatu (300) na hakuna Mgeni hata mmoja pale ndani.

Sasa nimejiuliza ni kwamba wao ndio hawapo kwenye right track ama?
 
Nimemuona na kumsikia Meneja wa moja ya Hoteli kubwa na maarufu ya Kitalii ya Arusha kwenye taarifa ya habari usiku huu anasema/anajitetea kwa Maofisa wa Serikali kuwa Hoteli ile ina vyumba mia tatu (300) na hakuna Mgeni hata mmoja pale ndani.

Sasa nimejiuliza ni kwamba wao ndio hawapo kwenye right track ama?
Labda wanakwepa kodi.
 
Nimemuona na kumsikia Meneja wa moja ya Hoteli kubwa na maarufu ya Kitalii ya Arusha kwenye taarifa ya habari usiku huu anasema/anajitetea kwa Maofisa wa Serikali kuwa Hoteli ile ina vyumba mia tatu (300) na hakuna Mgeni hata mmoja pale ndani.

Sasa nimejiuliza ni kwamba wao ndio hawapo kwenye right track ama?
Mh Mkuu wrong track vyumba 300 na high season hii? Utalii ume shuka Sana,Kigwangalla anajua utalii ni anti porching tuu maana naona yeye na majangili tuu sioni jitihada zake kuufufua utalii,au sio kipaumbele cha awamu hii
 
Mh Mkuu wrong track vyumba 300 na high season hii? Utalii ume shuka Sana,Kigwangalla anajua utalii ni anti porching tuu maana naona yeye na majangili tuu sioni jitihada zake kuufufua utalii,au sio kipaumbele cha awamu hii
Sijui kama ameangalia ITV na kumsikia yule Meneja.

Hakika basi hali ni mbaya.
 
tapatalk_jpeg_1542131910472.jpeg
 
Nimemuona na kumsikia Meneja wa moja ya Hoteli kubwa na maarufu ya Kitalii ya Arusha kwenye taarifa ya habari usiku huu anasema/anajitetea kwa Maofisa wa Serikali kuwa Hoteli ile ina vyumba mia tatu (300) na hakuna Mgeni hata mmoja pale ndani.

Sasa nimejiuliza ni kwamba wao ndio hawapo kwenye right track ama?


nimecheka kwa huzuni
 
Nilichomsikia yule Meneja anasema "ni hali tu ya uchumi......"

Sasa sijajua anamaanisha uchumi wa Dunia nzima au Tanzania maana Watalii wanatokea nje ya nchi.
Alikuwa anauma na kupuliza,ni uchumi wa ndani wala sio nje,Kodi zimekua juu
 
Back
Top Bottom