Hoteli / Lodge nzuri jijini Tanga

Hoteli / Lodge nzuri jijini Tanga

TheChoji

JF-Expert Member
Joined
Apr 14, 2009
Posts
6,551
Reaction score
20,259
Wakuu nna shida kidogo naomba msaada. Nategemea kwenda Tanga wiki ijayo kwa shughuli binafsi. Naomba mwenye kujua hoteli au lodge nzuri ya kisasa ambayo naweza kufikia. Bajeti yangu ni 30,000 - 50,000 na napendelea sehemu tulivu, safi na yenye huduma nzuri. Kuna thread ipo humu ila ni ya zamani sana 2012 sasa mi napenda sehemu mpya mpya ndio zinakuwaga nzuri. Natanguliza shukrani
 
Au kuna kijihotel kipo sahare kizur pia bei ni 30 elf pametulia ipo sehem moja inapita panaitwa kwa baba ubaya mbele kidogo unaingia kushoto kwa mbele ya hotel kuna uwanja wa mpira pazur pia
 
Nyinda classic ya raskazone ndo hua nafikia siku zote kumetulia sana na huduma zake nzur numerud last week tu nilikua huko
Nashukuru mkuu, vipi bei zao zikoje? Naomba pia kama una contacts zao ntashukuru niweke booking kabisa..
 
Au kuna kijihotel kipo sahare kizur pia bei ni 30 elf pametulia ipo sehem moja inapita panaitwa kwa baba ubaya mbele kidogo unaingia kushoto kwa mbele ya hotel kuna uwanja wa mpira pazur pia
Inaitwajee maana kwa baba ubaya ndo maeneo yangu mkuu
 
Huu uzi nafuatilia kwa umakini wiki 2 zijazo naanza likizo nataka niende Tanga na Arusha nikapumzike kidogo.
 

Similar Discussions

Back
Top Bottom