Pasco_jr_ngumi
JF-Expert Member
- Nov 20, 2010
- 1,802
- 284
Fanya mpango wa kumiliki kitalu cha gesi...
Kwiiii kwiiiiii......tulisema haitoki, tukapogwaaa.... Mjini tunafukuzwaa kwa hela zaoo.... Sembuse tupate kitalu!!!! Ngoja nifikirie kugombea udiwan tuanzishe kampun ya wananchi tuombe kumiliki japo kakitalu..... Najarbu kuandika hapa njaaaa inaumaaaaaa