Sanoyet
JF-Expert Member
- Apr 3, 2013
- 1,323
- 295
hahahahahahahahaha!
Sisi walalahoi tutaendelea kuwa:
(1)Wapagazi kwa hawa wajamaa wanaolala hapo
(2)Wanawake wazuri wa kulala nao hapo tutaendelea kuwaita mashemaji
Maisha sio fair kabisa!
Hotel ni nzuri ila mambo ya kulala kwenye maji yanatia hofu sana. Wengine tumetoka usafwani kule hata chemichemi tunaogopa hatujazoea maji kabisa
Nimechungulia kitovuti chao nimeona kamaneno yasemayo "Not for All". Sijaelewa maana yake nini, km wazawa haiwahusu, ama maskini (hata mzungu) haimhusu. Au nafikiri hii ni kama ya Mnemba Island, Komandoo Salmini Amour ametoa island iyo kwa miaka 100, usiombe uwe mvuvi alafu umepata mkosi ukasema ufikie kisiwa icho for emergency, utajuta kuzaliwa iyo fine na kifungo utakavhopewa! Nchi hii bana
Mnemba Island yani naona kama ndoto ujue, kwenye mitandano kinaonekana kipo kwenye tano bora ya visiwa vinavyokodishwa duniani. Noma zaidi sijui kodi yake inaenda wapi.. :crying:
The island itself is
privately owned and can be visited only as a guest
of the Mnemba Island Lodge, at a price of 1155 -
1500 US$ per person per night (2011 rates). At
these prices, the average Zanzibar citizen would have to work 4-6 years to spend one night on this island.[1] If -not being a guest- you accidentally set foot on the island you pay a hefty fine
Hii hata bure silali humo
uza korosho miaka 10 utalala siku mojaHatariiiii
1500$ x 1500= 2,250,000 mmakonde mimi wa Mtwara siwez kuja kuchunguliaaaa
Hii ni sawa na Kulala kwenye "kaburi" ambalo halijafunikwa...!