Hotel ya Kipekee Kisiwani Pemba Yaongelewa CNN

Hotel ya Kipekee Kisiwani Pemba Yaongelewa CNN

kibugumo hamna kitu kinachoniuma kama kila msichana mrembo hapa JF kuwaita shemeji!Umaskini mbaya sana kaka!Hawa warembo kama akina DEMBA akina lara 1 akina King'asti tunaishia ku like comments zao tu hapa!Sina uwezo wa kuwaalika lunch hotel ya maana katikati ya jiji la Dar

Sasa hotel kama hii ukiwa na hela si una mu invite tu hapo mnaongea!Milion 2 na ushee kwa siku mm ntazipata wapi?

Ili wajivinjari viwanja kama hivi mbinu pekee iliyohalalishwa na ccm ni kupokea rushwa, saini mikataba ya kunyonga ndugu zako pesa waingiziwa kwenye akaunt uswiiissssiiiii
 
Last edited by a moderator:
m proud to be Mpemba God bless Pemba, Zanzibar n Tanzania.
Manta Resort Nothern Pemba
 
Fanya mpango wa kumiliki kitalu cha gesi...

Huo mpango wa kumiliki kitalu utapenyezea wapi?! Wameambiwa wanaweza kuuza maji ya kwenye vimfuko na juice za kupima tu....
 
funny kwa bodi ya utalii kuna kitu kama icho lakini watanzania wengi hatukijui mpaka mtu alipoleta mada apa!!!
 
Hahahahahaah!!!! umenikumbusha kuna ndugu yako mmoja alikuwa akipewa safari ya kikazi kwenda zanzibar anaumwa , mpk anapewa mtu mwingine, tulipokuja muuliaza akasema anaogopa sana kusafiki kwenye maji. Loh! Badilikeni shemeji zangu.
Hahahahah huyo kanizidi lol

Jamaa yangu alikataa ofa ya kiwanja kigamboni. Anakuambia akipanda lile pantoni presha huwa inapanda.

Ushauri wa shemeji utazingatiwa. Ngoja nianze kujifunza kuogelea kwanza.
 
Usishangae kusikia dada yako kashawai kulala!!
 
Hii ni hatua moja wapo ya Tz kukuza utalii.....na itatungaza kimataifa....gud job Jk
 
Hahahahah huyo kanizidi lol

Jamaa yangu alikataa ofa ya kiwanja kigamboni. Anakuambia akipanda lile pantoni presha huwa inapanda.

Ushauri wa shemeji utazingatiwa. Ngoja nianze kujifunza kuogelea kwanza.
Asprin na ww kila msichana mrembo unaishia kumuita shemeji kama mm?ahahahahaha
 
Last edited by a moderator:
Hahahahahaah!!!! umenikumbusha kuna ndugu yako mmoja alikuwa akipewa safari ya kikazi kwenda zanzibar anaumwa , mpk anapewa mtu mwingine, tulipokuja muuliaza akasema anaogopa sana kusafiki kwenye maji. Loh! Badilikeni shemeji zangu.

Asprin na ww kila msichana mrembo unaishia kumuita shemeji kama mm?ahahahahaha

Mkuu msome Lisa, yeye ndo kaanza kuniita shemeji sijui ndo ananibania au ndo ukweli wenyewe au ndo ile kama wallet imefubaa warembo watabakia kuwa shemeji zako.

Lisa njoo ufafanue bana.
 
Last edited by a moderator:
Back
Top Bottom