Hot Members Only! Amekosa u-DC lazima atapewa u-RC

Hot Members Only! Amekosa u-DC lazima atapewa u-RC

Mkulu angekuwa hajajitoa tweeter ilikuwa kazi rahisi, tungemtweet hii mambo angeitupa nanyumbuuuuu

Karudi bhana we fanya kumtweet tu tena account ni verified.
 
Nadhani Mapicha yake ndo yamemponza aisee!

Sent from my BlackBerry 9360 using JamiiForums
 
Mpwa wapwa zako wote bado tunakupenda usiguse hapo umeshasikia jina lenyewe Gusa Unase a.k.a Hatoki Mtu Hapa!!-- lol!

Ndio uzuri wa kuwa na wapwa zako wanaokupenda. Nakushukuru kwa onyo lako nami naahidi kulizingatia. Ila tukumbuke na mwenzetu Elli alipate onyo hili kama alikuwa hana hizi taarifa.
 
Last edited by a moderator:
  • Thanks
Reactions: BAK
Back
Top Bottom