KikulachoChako
JF-Expert Member
- Jul 21, 2013
- 19,771
- 39,538
Haswaa yaani anafit kila idara........Waziri wa starehe na utalii wa ndani ofisi ya prezdaa!
Haswaa yaani anafit kila idara........Waziri wa starehe na utalii wa ndani ofisi ya prezdaa!
DC mtarajiwa.....Ndio nani tumjue?
Tusidharau taasisi kiasi hicho jamani...
Taasisi ilikuwa na heshima enzi za Mwalimu tu, kidogo Mkapa lakini sasa hivi mpaka wavaa milegezo wanaingia kila siku kupeleka Tuzo za muziki.
Wakuu tupeni jina lake la contact details zake - acheni roho mbaya please !!!!!
Tusidharau taasisi kiasi hicho jamani...
Wanawake na maendeleoooo!
sifa hana ila vigezo vimetosheleza
Sio kwamba vigezo vinapokamilika ndio sifa yenyewe?!
unavigezo vya kuwa rais ila sifa huna wewe ni mwizi
cc Low-hassa