Hot discussion: Wanaume wa Tanzania na mapenzi

Hapo siyo wanaume tu hata wanawake wanasagana..

Juzi tu tuliona tukio Mwanza watu wanawake wakivishana pete hizo ni dalili za ...na vyombo vya serikali vilifanya kazi yake..


Nadhani wahusika bado hawana hofu na Mungu...na pia hata malezi waliyopitia kwa wazazi au ndugu zao..

Ila sisi kama wazazi au vijana tunatakiwa kulikemea suala hili pia tuwe na tabia ya kuwafatilia watoto au wadogo zetu wakitoka shule au kucheza na kuwauliza maswali kadhaa juu ya uhusianao wao na marafik zao..
 
Umeonaeee. Halafu tatizo lake analazimishia na kulazimisha huko analazimishia kwenye mambo ya kipumbav*

Pia nimeamua kumuweka kwenye lile kundi la wale wanaume ambao hawajakamilika sababu kwa mwanaume aliyekamilika hawezi kuanza kumfuata fuata mwanamke pasi sababu za msingi .

Na mazowea hayakatazwi ila tucheke kwa vitu vya msingi sio vile vya kipuuz*.

Nashukuru sana dadake. Ubarikiwe.


Mkuu emmyta nilidhani huyu jamaa unafahamiana naye kiundani kiasi cha kukupa maneno ya hovyo hovyo kumbe mzushi tu??? Kwakweli anafaa kupuuzwa.
 
Mkuu emmyta nilidhani huyu jamaa unafahamiana naye kiundani kiasi cha kukupa maneno ya hovyo hovyo kumbe mzushi tu??? Kwakweli anafaa kupuuzwa.
Aah. Wapi! Hanijui simjui na hata mazowea naye sina ila si unajua tena mbele ya hadhara kila mmoja anajifanya mwehu.

Zile ni dalili za mwanaume kuwa mshamba hivyo achana naye mie namuona zero tu yaani hamna kitu pale hivyo hata hanipi presha.
 
Vicoba vinawaharibu kwa kupeana mawazo ambayo siyo sahihi. Mnataka kupendwa na mnahisi mkifanya hivyo basi mtapendwa kumbe nd kabisa mnaharibu. Nikupeleka moto tu mwanzo mwisho.
 
Hasa wanaume wa Dar jamani. Wakikuona una kitako tu kidogo wanataka kukuwekea mashine. Mchezo wa kukubali kunyonywa nyonywa huko nyuma huchangia pia. Au kuwekwa vidole. Mwanaume anaetaka huo mchezo ni mshenzi na hajali maisha ya mwenzie ya baadae.
 
Back
Top Bottom