Hostels / Nyumba za kupangisha zaanza kulipishwa kodi.

Zero Hours

JF-Expert Member
Apr 1, 2011
12,944
18,654
Nyumba za kupangisha hasa wanafunzi zijulikanazo kama hostels sasa ni Rasimi zaanza kulipishwa kodi.

Wamiliki wa hizi nyumba hivi sasa wanatumiwa barua toka TRA kupitia serikal ya mtaa.

Hili zoezi sasa limeanza hasa maeneo yenye vyuo vikubwa kama Mlimani Dar, Malimbe mwanza, Dodoma, etc. Hostel na nyumba za kupanga zimekuwa categolized as commercial buildings.

00c1951216ac2e0c5ea5139f0366bdf5.jpg
 
Back
Top Bottom