Hosteli za Magufuli chuoni UDSM zimeanza kubomoka. Nini chanzo? Watoto wetu watapona?

Hilo tatizo pia nimeonya kwamba litatokea kwenye ukuta unaojengwa Mererani. Nina mashaka kama ulifanyika upembuzi yakinufu kwenye ujenzi wa ukuta ule wa Mererani maana naona kama siasa zilipewa kipaombele. Anyway ngoja tuone muda utaamua kama unavyoomua sasa kwenye hayo majengo.

Naungana na wewe kwenye hili! Ziwe tofali sidhani kama hata zina ubora unaotakikana. It’s just a matter of time, trust me!
 
Huu ndio uchochezi sasa kwani shida iko wapi kama wewe ni engineer mzuri unajua kunankitu kinaitwa settlement hapo zina settle basi maisha safi nyumba zipo hela zilitumika hapo ni kidg tu kidumu chama chetu.
 
Yale yashakuwa ovyo sana. Humanity kwenye lecture rooms karibu na theatre 2 vigae vimeshaanza kuchomoka. Vyooni maji hakuna, mabafu yameharibika. Maji ni kisimani.
Maji yanatoka kwa msimu, block 1, 4, 17 na 19 shida tupu.
Maji yakitoka block 1 duh, ni shida. Mpaka aibu unatamani hata usiende huko ila ndiyo hivyo hauna jinsi
Si bora we unasema maji kwa block, enzi hizo sisi wahenga maji ilikua tunafata kwa wajasi, uhai ile ya lita 6 naoga mara mbili
 
Ujue kuna kitu kitaalamu kinaitwa Road Earth Quick hii inatokea kila siku kwa majengo ambayo yapo karibu sana na barabara ba ikitokea lazima majengo yapate nyufa na mwishowe kuangua na kuua watu 63.

Yakianguka husababisha hasara kubwa sana kwa sababu yamejengwa kwa pesa ndefu sana.

Mwisho kabisa niseme ukiingia kwenye hayo majengo tembea taratibu sana pia kelele za aina yoyote ile zisipigwe ili kuepusha mtikisiko ambao unaweza kupeleka jengo kuanguka.

By Prof: Onkwo Antanki.
 
Back
Top Bottom