MhuuuAcha uongo kijana hizo sio nyufa bali ni bomba za kupitishia maji ya mvua.
wasomi waliosomeshwa na nchi na bado wengine hajarudisha hata loan board
Huyu dogo sijui alifanikiwa kumaliza chuo!!
Kama hakuuawa inatoshaHuyu dogo sijui alifanikiwa kumaliza chuo!!
Zimekaa kimya kwa sasa expansion jointIvi hizi expansion joint bado zipo ?
Kuna watu ni kama wachawi vile!Duh!!! Kama ndio yako katika hali hii kweli, yatakuja kuwaporomokea watu..