Hospitali za Serikali mna nini?

Hospitali za Serikali mna nini?

Je ukiwa na maambukizi kwenye mfumo wa mkojo kwann isiwe ugonjwa? Au kwako ugonjwa ni nini?
af unaonekana na wewe umo kwenye hizi mambo ndo walewale mliokalilishwa mkaishia hapo tafuta tofaut kat ya infection na disease kwa akili yako nakuona unaweza sema STD's ni ugonjwa
 
Shida iliopo ni kuwa,hospitali za serikali karibu zote hawapimi malaria kwa kutumia rapid test,wana kipimo chao ambacho mara nyingi ukipima utaambiwa huna malaria,kuna kiwango ambacho hiyo malaria ikifika ndio kinaweza kusoma...
Hicho kipimo Chao Cha kupimia malaria huko hospital za serikali kinaitwaje?
 
Hapana nijuavyo mm Gonorrhea ni STI na sio UTI labda unipe shule kwann umesema hivyo
Nijibu ili swali tuende sawa STI ni sexual Transmitted Infection ambayo inaenda kuathiri kwenye nini kwamilia hapohapo kwenye Gono kwanza? Na dalili kubwa za gono mtu huwa anazisikia sehem gan? Hizo sehemu zikishambuliwa hayo magonjwa wanayaitaje?
 
af unaonekana na wewe umo kwenye hizi mambo ndo walewale mliokalilishwa mkaishia hapo tafuta tofaut kat ya infection na disease kwa akili yako nakuona unaweza sema STD's ni ugonjwa
Hapana mkuu mm sipo huko ila napenda kutumia common sense ktk kujadiliana, tulikuwa tunaenda vizur twende mpaka mwisho tutafahamiana tu, naomba uniambie tofauti kati ya disease na infection? STD's kama sio ugojwa ni nini?
 
Mimi ni mgojwa wa sickle cell kwa upande wangu nina amin sana hospital kuu za serikal na vipimo vyao mara nying viko sawa tofauti na izi hospital zingne

Ttzo ya hospital za serikal uwa ni mda hawajar mda wala hawawshimu mgojwa ad wajue unapesa

Kwa wagojwa wa sicklecell wanajua ni maumivu kias gan huwa tunapata pind ya criss eapecial iki kipind cha barid

Mimi nakaa arusha na arusha kuna hospital zote naza kila aina na za kila uwezo ila uwa nakua na aman sana nikienda mount meru kutibiwa kulko Hspt zingne zote
 
Ukweli ni huu hapa uelewe, wataalamu wa kupima ni wachache sana tena kwenye microscope ndo zero kabisa bora hivi vifaa vya kuweka sample vinascan na kuonesha majibu kwenye screen zinawasaidia ingawa ukikosea kuiandaa sample hupati majibu.

Usidhani huko private ni kweli waliona ingawa inawezekana ikawa kweli, siku hizi hospital nyingi wanaconfirm tatizo kutokana na dalili za mgonjwa alizozisema mdomon na sio vipimo, fanya utafiti rudi hapo hospital ya private jifanyishe unaumwa taja dalili za malaria halafu subiri majibu? Ndio maana wengi saizi ukijikoroga tu ukasema napata maumivu wakati wa kukojoa utaambiwa UTI ila hawasemi ya mdudu gani
 
Nijibu ili swali tuende sawa STI ni sexual Transmitted Infection ambayo inaenda kuathiri kwenye nini kwamilia hapohapo kwenye Gono kwanza? Na dalili kubwa za gono mtu huwa anazisikia sehem gan? Hizo sehemu zikishambuliwa hayo magonjwa wanayaitaje?
Sawa mkuu basi tuishie hapa endelea kuamini hivyo hivyo.
 
Nijibu ili swali tuende sawa STI ni sexual Transmitted Infection ambayo inaenda kuathiri kwenye nini kwamilia hapohapo kwenye Gono kwanza? Na dalili kubwa za gono mtu huwa anazisikia sehem gan? Hizo sehemu zikishambuliwa hayo magonjwa wanayaitaje?
UTI sio STI.
 
Nijibu ili swali tuende sawa STI ni sexual Transmitted Infection ambayo inaenda kuathiri kwenye nini kwamilia hapohapo kwenye Gono kwanza? Na dalili kubwa za gono mtu huwa anazisikia sehem gan? Hizo sehemu zikishambuliwa hayo magonjwa wanayaitaje?
We utakuwa uli-disco ndo maana wivu unakusumbua
 
Ndugu jamaa na marafiki kama na nyie limewakuta hebu tuambiane nini tatizo maana kila nikienda kupima maralia kwenye hizo HOSPITALI naambiwa sina maralia wakati nikijiangalia ninaumwa kweli.

Naamua kwenda maabara au hospitali binafsi, huko napatiwa tiba kisha narudi nikiwa na amani.

Jana usiku nilimpeleka mke wangu zahanati akiwa hoi na dalili zote za maralia lakini cha kushangaza naambiwa hana maralia, sikutaka kusubiri nikaamua kumpeleka maabara huko akakutwa na maralia, nashukuru kwa sasa anaendelea vizuri mseto unamsaidia.
Si rahisi kutoa hukumu sahihi kati ya taasisi mbili husika.

Hakuna dalili zenye hati miliki ya malaria. Tuna shida ya maambukizi mengine yenye dalili kama malari.

Mfano: Maambukizi ya Virusi na Maambukizi ya bakteria.
Tunajua virusi kulingana na aina , ukipata dawa ya kupunguza maumivu utapata nafuu. Hivyo, lolote laweza kuwa kweli kwa wahusika wote. Hakuna haja ya kuhukumu kwa ujumla.

Moja ya kitu ambacho tunashindwa kukielewa au tukipuuza tu ni kuwa:

1: Jukumu la kuutambua ugonjwa kwa mgonjwa hutegemea ushirikiano kati ya mgonjwa na mtoa huduma wake.

Hii huusisha uchukuaji wa historia/kutoa taarifa sahihi, ukaguzi wa mwili/kutoa ruhusa ya ukaguzi , kujua matarajio ya mgonjwa/wagonjwa huja na malengo yao, kupata tathmini ya nini kinaweza kuwa tatizo, kufanya vipimo na kupata majibu.
Maamzi ya yanayofuata ni kufahamu ugonjwa.

Baada ya kufahamu haya, kinachobaki ni kupewa majibu na kuelezwa aina ya tiba na matarajio hasi au chanya kutokana na ugonjwa na tiba husika.

Kuna magonjwa hufahamika kupitia historia tu, kuna magonjwa huitaji historia na ukaguzi. Kuna wakati utahitaji kipimo kuthibisha au kukanusha yale yaliyoko mikononi mwa mtoa huduma.

2: Hakuna mtoa huduma au mgonjwa atajisifu kuweza kutoa suluhisho la kiafya la mtu bila mahusiano mema kati ya watajwa hapo juu. Yote tunayotofautiana ni ubinadamu tu. Vivyo hivyo kwa watoa huduma ndani ya taasisi husika, ushirikiano na uwajibikaji wa kila mmoja kwa mujibu wa miongozo ni kitu muhimu sana ili kuleta ufanisi chanya.

Kuna wagonjwa wanajua magonjwa yao hasa ya kudumu pamoja na dawa na madhira yake kuzidi hata madaktari.
 
Back
Top Bottom