Folk Part II
JF-Expert Member
- Jun 27, 2017
- 441
- 520
Tuliokuwa tunapigania Dr Gwajima akae hapo sio kwa sababu tunapigania maslahi yake ila yetu binafsi. Kuimarika kwa huduma hapo ni kwa faida ya raia sio yeye.
Wengine tumepoteza wazazi hizo hospitali za serikali wote wawili kwa nyakati mbili tofauti, kwa sababu ya medical errors na uzembe tu, ndio ugomvi wangu ulipo na Ummy Mwalimu huo rekebisha hiyo sector it too technical kwako.
Anatokea mtu anaefahamu health intervention approaches kinaga ubaga, ana ufahamu mpana mno wa health management kuanzia usimamizi wa kutoa huduma hadi inventory control. Better still yeye mwenyewe ni qualified doctor.
Mnaenda mfanyia majungu atolewe hapo mnamtaka mbutika kama Ummy Mwalimu ukilisikiliza linaongea ujinga mtupu hakuna lolote linalojua.
Trust me Dorothy Gwajima hata kwenye bima ya afya angeanza na NHIF kuanza kutaka kuona wanaziba kwanza mirija yao ya upotevu wa hela ovyo through insurance fraud kujua actual costs zao; ndio wampelekee habari za kuongeza insurance costs.
Tells you ana abc za finance, tatizo wengi walikuwa awaelewi akiamua kuwapiga audit ya papo vituo vya afya anawaumbua, akiingia maabara akikuta vipimo vina anaelewa minimum ni siku ngapi mgonjwa ameonywa results walikuwa awawezi kumuongopea ni mtaalamu mnoooo.
Shida saa zingine ni ujinga wetu, mengine tunajitakia.

eti anawekwa kiongozi ambaye hajui kitu chochote kuhusiana na vitu anavyovisimamia akiona mabango yeye ndo furaha kumbe madakitari vitendo ni zero ,,,yeye kazi yake ni kusoma takwimu ambazo ameandikiwa na madokta uchwara kama akina client ambazo zina uongo mwingi ili waonekane wanafanya kazi