Hospitali ya Rufaa ya KCMC imebakia Jina tu!

haya mambo sijui kama ni ya kweli ila huwezi kuyakuta haya roma maana ukileta ushenzi tu amri inatolewa kule roma na sio mmatumbi mwenzako
 
hakuna cha ufisadi wala nini -huyu mlalamikaji kanyimwa mgao!
Hata kama mgao amekosa,Lkn habari katujulisha.So issue sio mgao,issue ni ujambazi unaofanywa na watendaji wa Hosp.
Nina ndugu yangu alikuwa ICU hapo KCMC jana imebidi apelekwe Arusha kufanyiwa CT-Scan kwan ya KCMC ni mbovu. NAMWOMBA MUNGU AMTUNZE HUYO NDUGU YANGU.
 
Suala la ufisadi kwa Dr Moshi ni la muda mrefu sana nashangaa kwa nini mpaka sasa anaendelea huku mkataba umekwisha tokea 03/04/2013. ufanyike uchunguzi na ikiwezekana ielezwe sababu ya malipo ya kifisadi ya allowance ya kilamwezi ya shilingi milioni 60 nnje ya mshahala. Moja ya ushahidi huu hapa Attach:- Atavuliwa Nguo siku siinyingi.
 
Suala la ufisadi kwa Dr Moshi ni la muda mrefu sana nashangaa kwa nini mpaka sasa anaendelea huku mkataba umekwisha tokea 03/04/2013. ufanyike uchunguzi na ikiwezekana ielezwe sababu ya malipo ya kifisadi ya allowance ya kilamwezi ya shilingi milioni 60 nnje ya mshahala. Moja ya ushahidi huu hapa Attach:- Atavuliwa Nguo siku siinyingi.
Kha, jamaa anavuta mkwanja!
 
pengine lile gari alilolikuta lilikuwa linamkera na zile korongo na akaona anunue v8 ambayo mara nyingi huendesha mwenyewe huku madereva wakikaa vijiweni...na hapo ndo utamjua mtu mlaji.....ile barabara ni mbovu na hairekebishwi kama hamuamini jamani njooni mjionee wenyewe......na hili je...linahitaji serikali.

Tena ina tinted...mmh.
Hospital imeshuka sana,sio jambo la kuficha..idara za diagnosis ziko hoi, directors hawana priorities,mishahara ndio hiyo,purely govt scale,hakuna hata top up...sasa makusanyo yote ya hela yanaenda wapi???
 
Ukizumzia idara za diagnosis ndiyo ipo hoi usipime. mashine zinaharibika wala hazitengenezwi . sehemu nyingine yenye ufisadi wa kutupa nipele wanapo paita KCRI. ufisadi wake nao utatisha hasa.
Tena ina t...mmh.
Hospital imeshuka sana,sio jambo la kuficha..idara za diagnosis ziko hoi, directors hawana priorities,mishahara ndio hiyo,purely govt scale,hakuna hata top up...sasa makusanyo yote ya hela yanaenda wapi???
 
Sio jukumu la serikali kuhudumia hospitali za kanisa yaani kuanzia Mishahara, madawa na matengenezo mengine na still wanapewa " msamaha wa kodi " !

Kwani huduma inatolewa bure ? Hivi Watanzania wana akili za namna gani ? Mapato ya kuanzia kujiandikisha mpaka dawa ( huduma kwa ujumla ) kwani zinapelekwa hazina ?

Shame on you kwa UFISADI wenuu !

No! Shame on you for not understanding. Kuna mikataba kati ya hospitali za makanisa na serikali. Na ni kweli Serikali ki-mkataba inatakiwa kulipa asilimia fulani ya mchango katika hospitali hizo na imekuwa ikifanya hivyo kwa miaka nenda rudi. Ikiwemo CT Scan na mishahara ya wafanyakazi. Lakini utajuaje hilo wewe kazi yako kupiga kelele kama mfa maji kwa mambo ambayo hata hujajui.
 
Yaani pamoja na misamaha ya kodo, mihahara kulipwa na serikali, sadaka za kanisani, na MoU juu bado Haya majamaa hayawezi kusimama? kweli Bila upendeleo Taasisi za kanisa zingeyumba sana.
 
pengine lile gari alilolikuta lilikuwa linamkera na zile korongo na akaona anunue v8 ambayo mara nyingi huendesha mwenyewe huku madereva wakikaa vijiweni...na hapo ndo utamjua mtu mlaji.....ile barabara ni mbovu na hairekebishwi kama hamuamini jamani njooni mjionee wenyewe......na hili je...linahitaji serikali.
kama resources hazitoshi dereva wa nini? huo mshahara wa dereva si hela zikanunue dawa? Naanza kupata wasiwasi na ushuhuda wako!
 
Suala la ufisadi kwa Dr Moshi ni la muda mrefu sana nashangaa kwa nini mpaka sasa anaendelea huku mkataba umekwisha tokea 14/04/2013. ufanyike uchunguzi na ikiwezekana ielezwe sababu ya malipo ya kifisadi ya allowance ya kilamwezi ya shilingi milioni 60 nnje ya mshahala. Moja ya ushahidi huu hapa Attach:- Atavuliwa Nguo siku siinyingi.

hivi swali la ufahamu, huu mkataba umeupata wapi mwizi wewe?
 
yote hayo inawezekana..... kanisa limekosa viongozi waadilifu. kunahitaji mabadiliko makubwa ya kimfumo na kiutendaji hata ya kiroho KKKT inapwaya
 
hilo la ct-scan kutofanya kazi miaka 3 ni aibu kubwa sana kwa consultant hospital like kcmc,shame on you! Is that a consultant hospital or a big dispensary?

kcmc kitu gani ct scan imekosa muhimbili sembuse huko uchochoroni moshi acha hizo , siasa za maji taka , tatizo si malasusa tatizo kwani hamlijui ? Nchi ya magamba hii mkiambiwa pigeni kura kwa uangalifu mnajichanganya ! Shauri zenu kwishney na nyinyiemu yenu na bado
 
Back
Top Bottom