Umuhimu wa sanamu ni upi? Hayo aliyoyafanya alifanya kwa hisani na kwa pesa zake ama yalikuwa majukumu yake ofisini kwa kutumia kodi zetu?Ulishawahi kuhoji matumizi ya ruzuku yangefanya nini kama kusingekuwa na ufisadi kwenye matumizi hayo?..
Mkuu ukiona mtu anafanya joke na UVIKO-19 ujue haujampitia au haujapitia familia yake. Ebu aende ICU akaone wagonjwa wenye UVIKO-19 wanapumuaje, alafu aje hapa aseme ni mafua tu. Hii kitu isikie tu mkuu kwa mbali. Usiombe ikutokee au itokee wazizi wako alafu uambiwe yuko kwenye ventilator.hospitali marehemu mama yangu alilazwa walikuwa wanatumia VENTILATOR za umeme!sio cylinder!...
Dah! Kvant bhana! Inakuongoza vemaWatanzania tupo milion 50+
Hizo milion 420 fasta fasta zingegaiwa kwa raia basi kila mtz angepata either mtaji/pembejeo/ada/ gari au kiwanja chenye thamani ya mil 7 hadi 8 hivi...
Dah! Kvant bhana
Sasa wewe! Kama mtu kaondoka na korona badala ya kumuenzi kwa kutumia pesa hiyo kununua mitungi ya gesi kuokoa maisha ya wengine mnatengeneza sanamu?
Hiyo ni akili au matope? Mtu mwenyewe mshagundua kuwa hata sanamu zikichongwa zinamkataa kabisa, si muache tuu aende zake?
View attachment 1844044
Subiri kwanza tujenge sanamu la malaika mkuu,Habari wadau.
Hali naona imeanza kuwa mbaya kwa upande wetu Tanzania ,nasikia huko Bugando washaanza kukumbwa na upungufu wa mitungi ya oxygen...
Wewe jamaa ni mjinga sana. Kabla hujaandika jaribu kufikiria kidogo na sio kuandika kwa ushabiki tu. Serikali ina hela imetoa wapi? Hiyo ni hela yetu wananchi na ni lazima ituhudumie kwanza kabla ya kwenda kujenga masanamu yasiyo na maana yoyote. Wananchi wanakufa kwa kukosa oxygen na wana hela zao wamekabidhi watu kuzitunza na kutumia kwa ajili yao lakini wao wanakwenda kujenga sanamu. Sanamu yenyewe ya mtu aliyeacha historia mbaya katika jamii. Ujenzi wa sanamu ni matumizi mabaya ya hela ya wananchi. Amka!!!!!Wewe hiyo hela ni ndogo sana kwa serikali. Ni hela ya chai na mikate kwa siku moja tu.
Acha kuiaibisha serikali na kuitukana.
Afu unaonekana una mawazo ya kimasikini masikini sana wewe!
Sio kila kitu ni madawati tu. Hata kumuenzi na kumuheshimisha Rais Magufuli ni jambo pia, tena la muhimu.
Kwanza hako kahela kadogo mnoooo ukilinganisha na mambo ambayo Magufuli amelitendea Taifa hili.
Nyinyi majizi mnaogopa hata sanamu ya aliyekufa?
Mwanzoni nilikuwa nafahamu kwamba nyinyi majizi na wauza unga mnamuogopa Magufuli kutokana na namna alivyowaadabisha, kumbe hata sanamu yake mnaiogopa pia?
Dah .... Hatari sana.. mkopo dolari hizi utawatoa roho..... Itafika mahali hata ukiteguka mguu utapelekwa kwenye Ile wodi yetu pendwa ili ujaze nyomi mzigo utoke...,🤣🤣🤣🤣🤣🤭
Inabidi corona ipige kwelkweli ili tupime uwezo wa kulinda Tz nan mkali kat ya SSH na JPM😂😂
Kweli kabisa... TusitishaneKitaeleweka TU,
Kikubwa imani yako, ukiwa na hofu utakufaa mapema.
Shughuri ziendelee,
Kama tulisavaivu kipindi inaanza, na tutasavaivu pia hata kipindi hiki.
Tusitiane Hofu,
Nna imani Mungu atatutia Nguvu.
Inshallah
Hukp siyo tanzania. Kwanza wana rais wao.Kuanzia January mpaka March mwaka huu huku kaskazini watu walivaa barakoa wenyewe...mimi mizunguko na makazi yangu ni Arusha - Moshi nakwambia hali ilikuwa mbaya
Hata mashehe gerezani waliugua na kupona kwa kutumia azuma. Dawa inayotibu kisonono.Ni upumbavu mtupu
Ichi ndicho niliwai kusema kwenye post yangu ya nyuma apo watu waka anza kunitukane eti Mimi mjinga
But my bro’s this true wanatumia vyombo vya abari kupeleka hofu kwa watu
Sijuwi Italy wame kufa watu 3000 kwa siku uongo mtupu akuna kweli
Ivi ninyi na akili yenu kabisa you hamuwezi fanya uchunguzi juu ya ugonjwa huu?
Maana some day nilifanya and majibu yangu yalikuwa positive niliambiwa kaa karantine siku 14 cha ajabu nilikaa kilicho ni shangaza kwa izo siku 14 sikutumia Dawa wala nini siku niliyo rudi hospital nika ambiwa nime pona COVID-19
Na so mimi tu marafiki zangu wengi wamesha wai pimwa iyi covid wana ambiwa wana covid wanakaa ndani siku 14 bila kutumia Dawa yeyote alafu wakirudi wana ambiwa wana pona
Mmmmm fanyeni uchunguzi huu sio ugonjwa
Jaribu kufikiria tu
Kipindi madascar walitengeneza Dawa
Uko afrika walizibitisha kabisa ina ponya
Kwanini who walikataa Dawa ile ? Na wakati hawakufanya uchunguzi wowote ?
Kuna Docter wa ufaransa alisema eti kuna vidonge vinaponya covid walikataa
Leo wame tuletea chanjo zao tuna lazimishwa kuchanja
Dah jamani watu fanyeni uchunguzi sio kuwekana hofu bure tu
Kuna vitu wanavyo taka awa wapumbavu kama sio pesa ndo wanazo zitafuta basi ita kuwa vitu vingine
Na madhara ya vitu ivyo itaonekana in the future
Kwani Nyerere alisemaje?.Ukiona unaota ndoto za mchana ujue karibu utakuwa chizi. Upinzani wa kuchukua utoke wapi ?
Ukiigawanya hapo hata jero kila mtu hapatiWatanzania tupo milion 50+
Hizo milion 420 fasta fasta zingegaiwa kwa raia basi kila mtz angepata either mtaji/pembejeo/ada/ gari au kiwanja chenye thamani ya mil 7 hadi 8 hivi...
Dah! Kvant bhana
Hivi serikali inasubilia nini ku impose strict measures ikiwemo lazima ya barakoa,marufuku ya mikusanyiko isiyo ya lazima na kwenye mastendi kuzuia milundikano,lazima ya maji tiririka kama kipindi kile unaingia?Habari wadau.
Hali naona imeanza kuwa mbaya kwa upande wetu Tanzania ,nasikia huko Bugando washaanza kukumbwa na upungufu wa mitungi ya oxygen.
Kipindi hiki lockdown haikwepweki bila shaka. Mpaka sasa Bugando Hospital wanaupungufu wa mitungi 500 ya oxygen.
Huku mtaani kwetu Buza sioni kabisa taadhali zikifuatwa ,Mungu atunusuru kwa kweli.
Chanzo: ITV Habari 06/07/2021.
View attachment 1844061
Tuacheni masihara. Kweli mnasugest lockdown iwepo? Watu watakula wakijifungia?Ngoja tuone,kama tutatoboa bila lockdown this time around🙄🙄🙄🙄
Kukumbushana bila bakola watu hawaelewiNilimsikia Rais akisema kuna pesa zaidi ya US dollar 400ml. kwaajili ya Corona, hizo pesa zielekezwe huko kununua mitungi ya oxygen kwa hospitali za serikali.
Lakini pia, tahadhari dhidi ya Corona ni vyema ziendelee kuchukuliwa kwa kila mmoja wetu kukumbushwa ana jukumu la kumlinda mwingine kwa kuanzia na kujilinda yeye binafsi.
.Mungu ni mwema atatusimamia
Mkuu, nimecheka kwa nguvu sana. Mungu awarehemu vinjeketile wetuYes atawasimamia.
Mwenzako Kinjikitile Ngwale Magufuli alinyofolewa roho kimasihara .
.