Lax
JF-Expert Member
- Feb 10, 2022
- 10,603
- 14,853
Sawa mkuuNdio maana yake. Lissu stahili yake ni kitanzi tu!
Sawa mkuuNdio maana yake. Lissu stahili yake ni kitanzi tu!
Wewe upo na mmeo makala anakufukua donatiSawa. Sasa hivi si yupo Ubelgiji na familia yake na rafiki yake kipenzi Amsterdam? Ahahahahaha!!
Kama una mzazi naamini anajivunia sana kuzaa mtoto kama wewe. Hongera sana.Wewe upo na mmeo makala anakufukua donati
Mzazi wako atakua anasikitika sana kuzaa bwabwa kama wewe,Chawa lenye roho mbayaKama una mzazi naamini anajivunia sana kuzaa mtoto kama wewe. Hongera sana.
Mithali 3:5-6Baada ya Mwabukusi kutoka kuongea na Rais samia, Hope ilijaa kwa wana JF kuwa soon Lisu ataachiwa.
My heart is bleeding, HOPE IS FADING AWAY!
View attachment 3461350
Kwa sauti ya Chifu Odemba : "Yani ulikuwa na matumaini kabisa kuwa baada ya Mwabukusi kutoka Ikulu Lissu ataachiwa?Baada ya Mwabukusi kutoka kuongea na Rais samia, Hope ilijaa kwa wana JF kuwa soon Lisu ataachiwa.
My heart is bleeding, HOPE IS FADING AWAY!
View attachment 3461350
Tanzania hukumu ya kifo ipo kwenye makaratasi tu. Wanaokutwa na hatia huwa hawanyongwiHivi watamnyonga kweli?
Hawawezi kumtoa mpaka uchafuzi wao uishe. Yule jamaa akitoka sasa hivi atawa-outshine CCM na vyama vingine vyoteKwa hizi kampeni, lissu akitoka sijui itakuaje...
Hii nchi atokee tu mwamba mmoja asambaze risasi kwa raia watu tuingie msituni ndio heshima itakuja. Ila haya masuala ya uchaguzi na kujifanya keyboard warriors hayawezi kuleta mabadiliko yoyotePrayers kama zingekuwa zinasaidia zingewasaidia watu wa Gaza kwanza. Au mnadhani Mungu yupo Tanzania tu?
Mwanaye wa pekee alisema bayana kuwa ya Mungu yatatuliwe kiroho lkn ya kiserikali yatatuliwe kiserikali (ya Mungu mpe Mungu lkn ya Kaisari mpe Kaisari).
Yes, though not that much!Kwa sauti ya Chifu Odemba : "Yani ulikuwa na matumaini kabisa kuwa baada ya Mwabukusi kutoka Ikulu Lissu ataachiwa?
uko sahihi kabisaHii nchi atokee tu mwamba mmoja asambaze risasi kwa raia watu tuingie msituni ndio heshima itakuja. Ila haya masuala ya uchaguzi na kujifanya keyboard warriors hayawezi kuleta mabadiliko yoyote
amenMithali 3:5-6
Mtumaini BWANA kwa moyo wako wote wala usizitegemee akili zako mwenyewe; katika njia zako zote mkiri yeye, naye atayanyoosha mapito yako.
Thubutuuu.Hivi watamnyonga kweli?
Baada ya Mwabukusi kutoka kuongea na Rais samia, Hope ilijaa kwa wana JF kuwa soon Lisu ataachiwa.
My heart is bleeding, HOPE IS FADING AWAY!
View attachment 3461350
Wewe Sasa ndiyo unaelewa nini cha kufanya. Watu wanadhani eti ccm itaamua ku-surrender kwa maneno tu . Hiyo haipo!!!Hii nchi atokee tu mwamba mmoja asambaze risasi kwa raia watu tuingie msituni ndio heshima itakuja. Ila haya masuala ya uchaguzi na kujifanya keyboard warriors hayawezi kuleta mabadiliko yoyote
Mjinga na mpuuzi mkubwa wewe. Badala ya kumpiga KITANZI ROSTAM AZIZI anayekuibia mpaka mitungi ya gesi wewe unashadadia mtu asiye na hatia apigwe kitanzi ? Jinga sanaBaada ya hapo Lissu anakula kitanzi! Tunasonga Mbele!!
Kesheni mkiomba, kwa maana hamjui siku wala saa! GE2025 - If not lip services, Lissu anaachiwa, Chadema inashiriki uchaguzi, TAL Mgombea Urais, tunafanya uchaguzi mkuu huru na wa haki kweliBaada ya Mwabukusi kutoka kuongea na Rais samia, Hope ilijaa kwa wana JF kuwa soon Lisu ataachiwa.
My heart is bleeding, HOPE IS FADING AWAY!
AMENKesheni mkiomba, kwa maana hamjui siku wala saa!
P