MWANALUGALI
JF-Expert Member
- Feb 1, 2010
- 601
- 34
sasa jamani habari zipi za ukweli?Habri sio za kweli
si kampeni zimeisha jamani turudi kwenye akili zetu za kawaida?
sasa jamani habari zipi za ukweli?Habri sio za kweli
Mramba kashindwa, period, nasikia NEC wamethibitisha i am serious
Mkuu hata mm sikutegemea habari ndio hiyo, NEC tayari imeridhia, imagine is like ndoto kwangu, maana alisema YEYE ni Panga la ZAMANI ila makali ni yale yale, kumbe alikuwa panga butu maskini Mramba weeeeeeeee
Na ukimwamini mungu utafanikiwa.Acheni Mungu aitwe Mungu. Watanzania tumelia sana. Ukombozi ni huu. Asanteni sana watu wa Rombo. Kitaeleweka tu mwaka huu. Tutalia kwa furaha
Mramba kashindwa, period, nasikia NEC wamethibitisha i am serious
Hiyo ni aibu kwa Kikwete, aliyekwenda kumnyanyua mkono juu... bora asingeenda pengine hasira zingekua ndogo
unakera we kijani fisadi sio mchezohabri sio za kweli
Habari hii imenifurahisha kuliko zote maana wananchi wametoa fundisho kwa JK na Makamba wake.Habari za kuaminika toka Rombo ni kwamba, Basil Mramba is out....................
Amina.Acheni Mungu aitwe Mungu. Watanzania tumelia sana. Ukombozi ni huu. Asanteni sana watu wa Rombo. Kitaeleweka tu mwaka huu. Tutalia kwa furaha
Usiende kunywa pombe ndugu yangu,piga goti chini mshukuru MUNGU!!!Kama ni kweli naenda kunywa bia sasa hivi popote nitakapo zipata. HUREEEEEEEy
Hiyo ni aibu kwa Kikwete, aliyekwenda kumnyanyua mkono juu... bora asingeenda pengine hasira zingekua ndogo
safii tuliwaaambia watu ushindi wake wa awali katika CCM ulikuwa na walakini wakabisha aliiba kura huyu mwizi....Mramba kashindwa, period, nasikia NEC wamethibitisha i am serious