Mnyakatari
JF-Expert Member
- Oct 25, 2010
- 2,028
- 1,792
Jamani!Iweje wamtose wakati fisadi mkuu alishatangaza kuwa eti tuhuma sio hatia!Wameshindwa na kulegea
CCM imeambulia kura za mafisadi na walinzi wao polisi na wanausalama wachache.
Sisi tulio wengi tumeamua kwa haki na Muungu ametupatia slaa new residaa.
Mtafuteni Malaria Sugu aje hapa jukwaani tucheze LELE
mbona ni wazi kura 8000 alizopata aliongezewa 5000 na kina Mchomba na Ngaleku lile jimbo lilikuwa la Mama Maskini ila hasira za Warombo wameonyesha demokrasia hainunuliwi! Hongereni snaNapenda kuchukua Fursa hii kuwapongeza Watanzania wa Jimbo langu la Rombo Kwa kumwangusha Fisadi Mramba.
Pamoja na Mkwere kumnadi ni mchapa kazi, Nyie mlitafakari na kuzichambua Mbivu na mbichi.
Binafsi hii imekuja kama mshangao fulani kwangu. Huyu jamaa alikua anabebwa sana na matajiri a.k.a
mafisadi wa kule Rombo.
Napenda tena niwapongeze tena wanarombo kwahili.
MUNGU IBARIKI TANZANIA
kilichomwangusha mramba ni dharua yake , aliwatukana wamama wa sokoni mashati, kwa kuwaonyesha ishara mbaya sana, kuja kwa dr slaa mara mbili, vijana kujitolea kuanzia police wa rombo, wauza fedha mpaka, mabodaboda na SELASINI kuwa karibu na watu warombo , bila kuwadharau, sasa, ndugu yangu ndege ya uchumi ,Rafiki yake MRAMBA , maulid jana kalala mapema , lucas mchomba haonekani, hapa tarakea mjini DIWANI wa chadema ksshinda hata bila kupiga kampeni
yanii vijana wamefurahi jana sana
Mungu ibariki tz , ibariki rombo