Hongereni TBC kwani hata huku ' Kukatikakatika ' kwa Matangazo katika ' Tanzania Safari Chaneli ' yenu mpya ni sehemu pia ya Utalii vile vile!

GENTAMYCINE

JF-Expert Member
Jul 13, 2013
56,748
109,213
Tukisema kwamba Waafrika huwa tunapenda ' Kukurupuka ' pasipo Kujipanga katika mambo yetu kama walivyo Wazungu mnaanza Kumkasirikia na Kumnunia GENTAMYCINE wakati kumbe Kiuhalisia ndiyo ukweli mtupu japo unauma.

Haingii akilini kabisa yaani Siku muhimu ya ' Uzinduzi ' tayari kuna matatizo ya Kimsingi ambayo yanayoonyesha kutokuwa na ' Uweledi ' wowote yanaanza Kujitokeza. Hata hivyo huenda kilichotokea katika ' Uzinduzi ' wa Tanzania Safari Chaneli kwa ' Kukatikakatika ' Kwake pia ni sehemu moja wapo ya ' Utalii ' bora na wa Kisasa ambao utaweza kutuongezea Watalii wengi na ' Watazamaji ' wake.

Sijui ni kwanini katika Hafla / Shughuli zozote za Wazungu huwezi kukutana na ' Mauzauza ' kama haya ambayo utayakuta mengi sana katika nchi nyingi za Kiafrika na sana sana hapa Tanzania na bado tu hatujifunzi. Mara Mitambo izime, mara tusikie Sauti lakini lakini Nyago / Sura ya Mtangazaji haionekani, mara tunaona Sura ya Mtu bila Picha.

Na mkiendelea ' Kuzubaa zubaa ' hivi na kutokuwa makini hasa katika hii Chaneli yenu mpya ya Utalii na hivi ndiyo mtaanza kufanya ' coverage ' zenu kwa Wanyama kuna uwezekano mkubwa Watangazaji wenu wengi ama wakiliwa sana na Simba au wakawaachia Fisi ' makalio ' yao na wakarudi zao hapo Studioni Mikocheni kuponya kama siyo kuuguza ' Majeraha ' yao yaliyotukuka.

Shauri yenu!

Nawasilisha.
 
Tukisema kwamba Waafrika huwa tunapenda ' Kukurupuka ' pasipo Kujipanga katika mambo yetu kama walivyo Wazungu mnaanza Kumkasirikia na Kumnunia GENTAMYCINE wakati kumbe Kiuhalisia ndiyo ukweli mtupu japo unauma.

Nawasilisha.

Sio kila Jambo unaloliona unatakiwa upambane nalo mengine ona alafu pitahivi Kuna watu n Kaz yao wameona na watalishughulikia jifunze kupenda kazi ya mzazi au mlezi wako itakusaidia kwenye maishani mwako kufanikiwa kunaanza kupenda vya nyumbani Kwanza. THINK BIG JIFUNZE MENGI ILA USIFANYE KILAKITU
 
Sio kila Jambo unaloliona unatakiwa upambane nalo mengine ona alafu pitahivi Kuna watu n Kaz yao wameona na watalishughulikia jifunze kupenda kazi ya mzazi au mlezi wako itakusaidia kwenye maishani mwako kufanikiwa kunaanza kupenda vya nyumbani Kwanza. THINK BIG JIFUNZE MENGI ILA USIFANYE KILAKITU

Huwa sipangiwi pale ninapotaka ' Kuwanyoosha ' Watu ' Wapuuzi ' na ' Ukome ' kunipangia nini cha Kufanya / Kuandika hapa sawa?
 
Pambana na haliyako mzee mwakahuu mpaka mnyoroke mukae wimaaa

Sasa Kiswahili chenyewe tu hukijui hivi utaweza ' Kujibizana ' na Mimi kweli? Tena Wewe kama ni Mfanyakazi wa TBC hapo nina uhakika Siku ukipangiwa tu ' Assignment ' ya kwenda kufanya ' Coverage ' huko Mbugani Bosi wako Mkuu na Mwalimu ( Mhadhiri ) wangu ' Kipenzi ' na ' Poti ' pia ' Genius ' Dkt. Ayub Ryoba atapigiwa Simu kuja kuchukua tu Nguo zako, laini zako za Simu, Condoms ulizozihifadhi Pochini Kwako na mabaki yako ya Mifupa iliyokomaa kama ya Ngiri, kwani kwa jinsi ulivyo ' Popoma ' hivi nina uhakika hutoshindwa kuwa ' Kitoweo ' kitamu cha ama Simba au Nyati au Kifaru.
 
Sasa Kiswahili chenyewe tu hukijui hivi utaweza ' Kujibizana ' na Mimi kweli? Tena Wewe kama ni Mfanyakazi wa TBC hapo nina uhakika Siku ukipangiwa tu ' Assignment ' ya kwenda kufanya ' Coverage ' huko Mbugani Bosi wako Mkuu na Mwalimu ( Mhadhiri ) wangu ' Kipenzi ' na ' Poti ' pia ' Genius ' Dkt. Ayub Ryoba atapigiwa Simu kuja kuchukua tu Nguo zako, laini zako za Simu, Condoms ulizozihifadhi Pochini Kwako na mabaki yako ya Mifupa iliyokomaa kama ya Ngiri, kwani kwa jinsi ulivyo ' Popoma ' hivi nina uhakika hutoshindwa kuwa ' Kitoweo ' kitamu cha ama Simba au Nyati au Kifaru.


Alafu nimekumbuka swali hivi TBC ndo nn vile?

Pita hivi!
 
sometimes we need think before we post or create thread

Siku zingine andika tu kwa Kiswahili kuliko Kuandika kwa Kiingereza halafu unavapa / unakosea na kuanza ' Kuaibika ' na kuonekana bonge la ' Popoma / Pumbavu ' lililotukuka. Eti ' We need think ' Swine mkubwa Wewe!
 
Siku zingine andika tu kwa Kiswahili kuliko Kuandika kwa Kiingereza halafu unavapa / unakosea na kuanza ' Kuaibika ' na kuonekana bonge la ' Popoma / Pumbavu ' lililotukuka. Eti ' We need think ' Swine mkubwa Wewe!

My friend! jifunze kujua! also next time when you argue with me argue by points/contents! forget about the language nitakayotumia!


Wakati unaandaa thread yako ulisikiliza kwanza walichoongea?? au umekurupuka! arleady wote waliokuwepo wamesema kuwa kwa sasa wameanza na studio ndogo kwa chanel hii na hata mifumo kwa ajili ya chanel hii itakuwa improved mbeleni!

unakimbilia kuandika upuuzi kama huu for what??? mbona tunakuwa wepesi kulaumu kuliko kupongeza! Niambie ni chanel gani katika chanel za ndani ambazo hazina hitilafu za kiufundi??? au umeiona TBC peke yake!
 
Back
Top Bottom