Pdidy
JF-Expert Member
- Nov 22, 2007
- 50,956
- 22,153
Leo nimefurahishwa sana na kanisa letu la Anglikana.
Nilikuwa sehemu Dodoma nakula nikaona Channel Ten jengo zuri sana Rais Samia Suluhu akilifungua jengo hili.
Baada ya kudododsaa nikajua ni jengo la kanisa la Anglikana kama kitega uchumi, lina mandhari nzuri sana kuanzia ndani mpaka nje.
Niwape maua yenu wana Anglikana wote nchini na viongozi wote wa kanisa la Anglikana [popote mlipoo Mungu awaabariki msiishie hapoo tu ongezeni SAFINA HOUSE Kila mkoa na Mungu awasaidie.
Maombi yangu kwa Mungu makanisa mengine tuige mfano.
Nilikuwa sehemu Dodoma nakula nikaona Channel Ten jengo zuri sana Rais Samia Suluhu akilifungua jengo hili.
Baada ya kudododsaa nikajua ni jengo la kanisa la Anglikana kama kitega uchumi, lina mandhari nzuri sana kuanzia ndani mpaka nje.
Niwape maua yenu wana Anglikana wote nchini na viongozi wote wa kanisa la Anglikana [popote mlipoo Mungu awaabariki msiishie hapoo tu ongezeni SAFINA HOUSE Kila mkoa na Mungu awasaidie.
Maombi yangu kwa Mungu makanisa mengine tuige mfano.