mkuu unanipa mashaka kwa haya mapya niyasomayo toka kwako?
tokea lini ukawa mwema kwa chadema? au CUF wamekufukuza unataka kudandia mkuki kwa mbele
Dah Mwiba unataka kutuingiza nyavuni na utuvue kiulaini?.Naona hujapata thanks siku nyingi ukaamua kubadili upepo,na watu wameendelea kukuchunia tu. :teeth:
ALoo nipo hapa tokea na kabla ya 2007 na ni mwanachama nambari kumi kujiunga na Jambo forum aka Jamii ( ila nilifukuzwa na kurudi tena 2007) ndio nimetulia. Sasa kama unakuja na kuvizia nani kapewa thanks utapata tabu na shida.Nakupa pole sana.
tulisha zoea kukuona upande ule wa mafisadi lkn kwa mshituko wa wengi uko upande wa pili....ALoo nipo hapa tokea na kabla ya 2007 na ni mwanachama nambari kumi kujiunga na Jambo forum aka Jamii ( ila nilifukuzwa na kurudi tena 2007) ndio nimetulia. Sasa kama unakuja na kuvizia nani kapewa thanks utapata tabu na shida.Nakupa pole sana.
Kama ni kupewa nyota tano basi Chadema wapo katika mstari wa kuweza kutunukiwa Nyota hizo tano na kuwa 5Star political party katika Taifa hili la Tanzania.
Hii ni kutokana na kufanikiwa kwa kiasi fulani kuweza kuikeep bize CCM na serikali yake na kuwafanya watawala tulionao kubabaika na kutojua pa kushika ,silaha hii ya Chadema ndiyo silaha haswa inayotakiwa kutumika katika kuisambaratisha CCM na utawala wake.
Katika muhula huu wa lala salama kwa CCM na wadhamini wake (aka mafisadi) ,tokea ulipomaliza uchaguzi mkuu Chadema awamefanikiwa kumkurupusha Kikwete na Chama chake kutokana na matokeo ya uchaguzi hili halijamalizika tayari wamekurupusha kwenye mambo ya Umeya wakati mapambano yakiendelea kwenye umeya ,Chadema wamepalilia na kulimia kwenye mambo ya kudai Katiba Mpya ,halikadhalika kwenye mdundo wa malipo ya Dowans huko nako kunafuka moshi,nategemea kuitishwa maandamano ya nchi nzima kupinga hatua iliyochukuliwa ya kulipa deni hewa la dowans.
Chadema ni lazima waendelee na safari hii isiwe mwendo mdundo maana jamaa watakuja kupinda kushoto ,iwawache Chadema wakiongoza njia tu,kumbe watu weshakula kona.
Mbinu hii ya kuikeep busy CCM na serikali yake ndio itakayowachanganya CCM na wadhamini wao wachanganyikiwe kila mmoja awe hamjui mwenziwe na kila mmoja ajione mzigo wake ni mzito hakuna nafasi ya kusaidiana.maombi ya maandamano na mikutano yaenee nchi nzima kusiwe na kulala tena.
mkuu unanipa mashaka kwa haya mapya niyasomayo toka kwako?
tokea lini ukawa mwema kwa chadema? au CUF wamekufukuza unataka kudandia mkuki kwa mbele
Mwiba,
Hongera kwa kuuona mwanga.
Hongera sana mwiba kwa kutambua Nuru ya kweli iko upande gani.
Lini umezinduka ?
tulisha zoea kukuona upande ule wa mafisadi lkn kwa mshituko wa wengi uko upande wa pili....
Kwa kuandika haya, sidhani MWIBA kasema kuwa kahamia Chadema.
Labda yeye na kundi lake wamegundua kuwa NDOA na CCM ni kuzidi kuizamisha Zenji itawaliwe.
Sijui ana malengo gani na labda ni kama alivyosema kuwa "Chadema watafikri kuwa Watz wako nao na kumbe wengine wakifika njiani (sijui na yeye yumo?) watasepa na Chadema watajikuta wako peke yao...."
Hata hivyo, inabidi Mwiba tumpe ASANTE maana hatimaye Dr. Slaa akisoma, ataburudika walau kidogo.
Sikonge,unaweza kumpa ASANTE leo halafu kesho akawa mwiba mchungu sana kwetu. Muangalie Maggid Mjengwa nae alivyobadilika.Mimi nahisi hawa watu walinunuliwa na chama ili kuidhoofisha CDM na sasa mkataba umekwisha wanaanza kuwa waTZ wa kawaida
ALoo nipo hapa tokea na kabla ya 2007 na ni mwanachama nambari kumi kujiunga na Jambo forum aka Jamii ( ila nilifukuzwa na kurudi tena 2007) ndio nimetulia. Sasa kama unakuja na kuvizia nani kapewa thanks utapata tabu na shida.Nakupa pole sana.
Unajua unacho kinena?
Kwa nini isiwe CDM mmenunuliwa na mafisadi kudhoofisha CUF au NCCR
ALoo nipo hapa tokea na kabla ya 2007 na ni mwanachama nambari kumi kujiunga na Jambo forum aka Jamii ( ila nilifukuzwa na kurudi tena 2007) ndio nimetulia. Sasa kama unakuja na kuvizia nani kapewa thanks utapata tabu na shida.Nakupa pole sana.